Rais Samia hawa watu usipowateua watageuka kuwa maadui zako

Hadi sasa nimeona watu wa aina tatu wakitafuta namna yoyote ili wawe sehemu ya Serikali yako, wanatumia kila mbinu.
  • Kuna wale wabunge ambao 2020 walikatwa, wakiwemo wa viti maalum. Hawa wana Imani kubwa na wewe wakiamini kabisa utawakumbuka kwenye serikali yako.
  • Kuna wale hawamiaji, majuzi Kuna mmoja alinipigia debe mbele yako kuwa ana uzoefu wa uongozi ana yupo tayari kufanya kazi.
  • Siku ile ya Scout, nao walikuomba uwakumbuke kwenye teuzi na ukasema utawakumbuka.
Yote haya wewe umeyalea, muda utapofika na wasipate walichotarajia watageuka kuwa maadui wakubwa wa serikali.

Ulikuwa na nafasi ya kukataa haya, Ila ulikubaliana nayo. Kumbuka hawafanyi wanayoyafanya Sasa kwa bahati mbaya.

Sasa kazi kwako.

Upumbavu tu huu! Mbona walimgeuka jiwe na mwisho wa siku kashinda kila kitu Mpaka uwakilishi mbinguni na sasa yuko huko anaendelea kutumbua
 
Hadi sasa nimeona watu wa aina tatu wakitafuta namna yoyote ili wawe sehemu ya Serikali yako, wanatumia kila mbinu.
  • Kuna wale wabunge ambao 2020 walikatwa, wakiwemo wa viti maalum. Hawa wana Imani kubwa na wewe wakiamini kabisa utawakumbuka kwenye serikali yako.
  • Kuna wale hawamiaji, majuzi Kuna mmoja alinipigia debe mbele yako kuwa ana uzoefu wa uongozi ana yupo tayari kufanya kazi.
  • Siku ile ya Scout, nao walikuomba uwakumbuke kwenye teuzi na ukasema utawakumbuka.
Yote haya wewe umeyalea, muda utapofika na wasipate walichotarajia watageuka kuwa maadui wakubwa wa serikali.

Ulikuwa na nafasi ya kukataa haya, Ila ulikubaliana nayo. Kumbuka hawafanyi wanayoyafanya Sasa kwa bahati mbaya.

Sasa kazi kwako.
Kufanya uandui ndani ya CCM ni kazi bure, kwa madaraka aliyonayo Mwenyekiti wetu ni sawa na kujisumbua tu, so wananchama wenzangu wa CCM cha kufanya ni kutii bila shuruti huku ukisubiri nafasi yako ya uteuzi kama itakuja ama lah, kama hili hutaliweza basi the only option ni kubakia kimya. Uamuzi ni wako.

Pelekeni ujumbe huu kwa wale vidomodomo, dawa yao tunaipika.
 
Yaani umewataja na watu ambao waliunga JUHUDI?Hawa kina MwEmbe walinunuliwa na walishalipwa chao,hawana deni kwa mama,kina KITAMBI wote hatakama walipewa nafasi ila walikula chao hawa "mercenaries"
 
Hadi sasa nimeona watu wa aina tatu wakitafuta namna yoyote ili wawe sehemu ya Serikali yako, wanatumia kila mbinu.
  • Kuna wale wabunge ambao 2020 walikatwa, wakiwemo wa viti maalum. Hawa wana Imani kubwa na wewe wakiamini kabisa utawakumbuka kwenye serikali yako.
  • Kuna wale hawamiaji, majuzi Kuna mmoja alinipigia debe mbele yako kuwa ana uzoefu wa uongozi ana yupo tayari kufanya kazi.
  • Siku ile ya Scout, nao walikuomba uwakumbuke kwenye teuzi na ukasema utawakumbuka.
Yote haya wewe umeyalea, muda utapofika na wasipate walichotarajia watageuka kuwa maadui wakubwa wa serikali.

Ulikuwa na nafasi ya kukataa haya, Ila ulikubaliana nayo. Kumbuka hawafanyi wanayoyafanya Sasa kwa bahati mbaya.

Sasa kazi kwako.
Acha upopoma
 
Hadi sasa nimeona watu wa aina tatu wakitafuta namna yoyote ili wawe sehemu ya Serikali yako, wanatumia kila mbinu.
  • Kuna wale wabunge ambao 2020 walikatwa, wakiwemo wa viti maalum. Hawa wana Imani kubwa na wewe wakiamini kabisa utawakumbuka kwenye serikali yako.
  • Kuna wale hawamiaji, majuzi Kuna mmoja alinipigia debe mbele yako kuwa ana uzoefu wa uongozi ana yupo tayari kufanya kazi.
  • Siku ile ya Scout, nao walikuomba uwakumbuke kwenye teuzi na ukasema utawakumbuka.
Yote haya wewe umeyalea, muda utapofika na wasipate walichotarajia watageuka kuwa maadui wakubwa wa serikali.

Ulikuwa na nafasi ya kukataa haya, Ila ulikubaliana nayo. Kumbuka hawafanyi wanayoyafanya Sasa kwa bahati mbaya.

Sasa kazi kwako.
Tuache ujinga wa kugawa vyeo kama zawadi.
 
Kwa kuwa na wewe upo ili upate uteuzi?
Tulia endelea kuisoma namba awamu yenu imeondoka na mwendazake
 
Hadi sasa nimeona watu wa aina tatu wakitafuta namna yoyote ili wawe sehemu ya Serikali yako, wanatumia kila mbinu.
  • Kuna wale wabunge ambao 2020 walikatwa, wakiwemo wa viti maalum. Hawa wana Imani kubwa na wewe wakiamini kabisa utawakumbuka kwenye serikali yako.
  • Kuna wale hawamiaji, majuzi Kuna mmoja alinipigia debe mbele yako kuwa ana uzoefu wa uongozi ana yupo tayari kufanya kazi.
  • Siku ile ya Scout, nao walikuomba uwakumbuke kwenye teuzi na ukasema utawakumbuka.
Yote haya wewe umeyalea, muda utapofika na wasipate walichotarajia watageuka kuwa maadui wakubwa wa serikali.

Ulikuwa na nafasi ya kukataa haya, Ila ulikubaliana nayo. Kumbuka hawafanyi wanayoyafanya Sasa kwa bahati mbaya.

Sasa

Hadi sasa nimeona watu wa aina tatu wakitafuta namna yoyote ili wawe sehemu ya Serikali yako, wanatumia kila mbinu.
  • Kuna wale wabunge ambao 2020 walikatwa, wakiwemo wa viti maalum. Hawa wana Imani kubwa na wewe wakiamini kabisa utawakumbuka kwenye serikali yako.
  • Kuna wale hawamiaji, majuzi Kuna mmoja alinipigia debe mbele yako kuwa ana uzoefu wa uongozi ana yupo tayari kufanya kazi.
  • Siku ile ya Scout, nao walikuomba uwakumbuke kwenye teuzi na ukasema utawakumbuka.
Yote haya wewe umeyalea, muda utapofika na wasipate walichotarajia watageuka kuwa maadui wakubwa wa serikali.

Ulikuwa na nafasi ya kukataa haya, Ila ulikubaliana nayo. Kumbuka hawafanyi wanayoyafanya Sasa kwa bahati mbaya.

Sasa kazi kwako.
Kila mtu atimize wajibu wake alipo, ili kutumikia nchi. Rais atateua wangapi? Uongozi wa umma hasa nafasi za uteuzi haziombwi. Ukiona mtu anaomba kuteuliwa kama vile anaomba zabuni ya biashara huyo hafai.

Moja ya mambo ambayo Mwalimu Nyerere alifanikiwa; ni kujenga miiko na maadili ya uongozi. Ukiteuliwa watu wanajua utatumikia nchi na watu wake siyo kufurahia magari ya kifahari na mshahara. Sikuizi mtu akiteuliwa tunasema, "Junior kaula!" Ndiyo mawazo ya kuomba vyeo.. Tuziache mashine za nchi zimpe Rais watu wa kumsaidia. Na hata hao wanao lobby wakikosa vyeo hawatafanya chochote.
 
Hii culture ya kufikiria kuteuliwa nafasi serikalini ni kupata ulaji ni mbaya na ni dalili ya ufisadi, wenzetu wanaona kuteuliwa ni mzigo maana unafikiria jinsi kazi itakavyokuwa nzito, kuacha business kutumikia uma na kuishi kwenye macho ya jumuiya kila siku, ukipata cheo fanya kazi yako kwa bidii rekebisha kero za wananchi,vyeo ni vitu vya kupita na sio sehemu ya kutengeneza utajiri,kama unataka utajiri kaanzishe kampuni yako sio vyeo vya serikali
 
Back
Top Bottom