uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,653
- 26,388
Hadi sasa nimeona watu wa aina tatu wakitafuta namna yoyote ili wawe sehemu ya Serikali yako, wanatumia kila mbinu.
Yote haya wewe umeyalea, muda utapofika na wasipate walichotarajia watageuka kuwa maadui wakubwa wa serikali.
- Kuna wale wabunge ambao 2020 walikatwa, wakiwemo wa viti maalum. Hawa wana Imani kubwa na wewe wakiamini kabisa utawakumbuka kwenye serikali yako.
- Kuna wale hawamiaji, majuzi Kuna mmoja alinipigia debe mbele yako kuwa ana uzoefu wa uongozi ana yupo tayari kufanya kazi.
- Siku ile ya Scout, nao walikuomba uwakumbuke kwenye teuzi na ukasema utawakumbuka.
Ulikuwa na nafasi ya kukataa haya, Ila ulikubaliana nayo. Kumbuka hawafanyi wanayoyafanya Sasa kwa bahati mbaya.
Sasa kazi kwako.
Upumbavu tu huu! Mbona walimgeuka jiwe na mwisho wa siku kashinda kila kitu Mpaka uwakilishi mbinguni na sasa yuko huko anaendelea kutumbua