Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,803
- 8,791
Huyu Mama kuna picha yake yoyote yupo msikitini..? Sidhani hili la Mbowe kama anapata usingizi.
Atakapokuwa tayari kumalizia kutoa ULE ushahidi wake wa hapa DUNIANIKwani Mwigulu anatakiwa afe mwaka gani na sasa atakufa mwaka gani?
Std7, fook you, nimejiunga jf kabla yakoDogo naandika kifalsafa zaidi std7 huwezi nielewa
Kwani CHADEMA ipo ? Unaota wewe. Sisi tunajua ilishajifia siku mwenyekiti wenu alipobadili gia angani mwaka 2015.Zoezi la kuiua CHADEMA alilianza Hayati Magufuli na kaondoka Duniani hajafanikiwa kuiua CHADEMA. Kwa maneno mengine rahisi, aliyetaka CHADEMA ife kafa yeye na kuiacha CHADEMA ikiwa hai.
Mbowe alikuwa hana tuhuma zozote za Ugaidi hapo kabla, lakini alipoanza vuguvugu la kudai Katiba Mpya mkamkamata na kumbambikia kesi ya kigaidi.
Police wanatoa hoja za kitoto za kuwafanya watu wote hawana akili. Eti walikuwa wakimchunguza na sasa wamepata ushahidi na kumkamata.
Swali kwa Police: Utamchunguzaje suspect huku akiwa huru? What if akitoroka?
Rais Samia, tunakuheshimu sana kama Rais wetu, lakini hatukuogopi. Tunayemwogopa ni mmoja tu, naye ni MUNGU.
Hakuna wa kututisha kuhusu kudai Katiba Mpya, tutaendelea kuidai kwa njia nyingi tofauti hadi tutaipata, na njia kubwa kuliko zote tumeanza kukushtakia kwa MUNGU. Kama utaweza kushindana na MUNGU basi CHADEMA itakufa, lakini kwa sababu Mungu huwa ni wa haki,atasimama kwenye haki.
Rais Samia, hautafanikiwa kwenye njama zako za kuiua CHADEMA, Mbowe siyo CHADEMA. Nyie mfanyeni vyovote vile mnavyojua, lakini mtakapoanza kulipa ghadhabu ya MUNGU msikimbiane humo.
Huwa mnajiona mna haki sana ya kufanya lolote, wakati ni ukuta, iko siku hamtavuka.
Wee unazo? Ungekuwa NASA tukujue una akili. Zako za chadema kulala barabarani badala ya kufanya kazi. Na kuhuza mwili kama CDHuna akili kabisa wewe
You are nothing but a buffoon.At least sasa ungekuwa hata mhuni...wewe huwezi kuwa mhuni.yu are just a hopeless boy with nothing ndo maana una hasira.
Uonavyo wewe Mwigulu ni mzima?TUSIDANGANYANE KUWA KUIZUIA CHADEMA KUNASABABISHA MTU AFE. HUU NI UJINGA. HAKUNA ALIYEPAMBANA NA CHADEMA KAMA MWIGULU.HAKUNA. MI NAKWAMBIA.
Mwigulu ataangamia.TUSIDANGANYANE KUWA KUIZUIA CHADEMA KUNASABABISHA MTU AFE. HUU NI UJINGA. HAKUNA ALIYEPAMBANA NA CHADEMA KAMA MWIGULU.HAKUNA. MI NAKWAMBIA.
Kumbuka mwigulu kidogo auawe Arusha mbowe ndie alimtetea ni mshezi huyo mwigulu alichofanya kwa chadema Ila Mungu atawalipaTUSIDANGANYANE KUWA KUIZUIA CHADEMA KUNASABABISHA MTU AFE. HUU NI UJINGA. HAKUNA ALIYEPAMBANA NA CHADEMA KAMA MWIGULU.HAKUNA. MI NAKWAMBIA.
The Hungry man is angry man ...😂You are nothing but a buffoon.
Anaumwa nini tena? Corona?Uonavyo wewe Mwigulu ni mzima?