MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,640
- 33,421
Anaupiga mwingi sana .... muacheni apige kaziHatuna Kiongozi ... Nawaambia kama hamjafahamu mpaka sasa. Hamna kitu pale. Ni picha tu.... Ni Tumepata Salma Mtembezi. Hakuna anachoelewa. Si wa kupambania wananchi.
Tulisema anaupiga mwingi.. sasa anaendelea kuupiga mwingi usio na faida sababu ni nje ya uwanja. Haina maana kabisa.