Siyo Samia tu mwenye kupenda kuzunguuka zunguuka nchini na kushinda angani. Kuna misafara ya mawziri, maktibu wakuu, watumishi wengine kutwa kucha wako barabarani Dar-Dodoma, Dodoma-Dar. Yaani imekuwa serikali ya kusafirisafiri tu, Hawatulizani sehemu moja
Tatizo siyo safari yao, tatizo ni kuwa hizi safari ni gharama kwa mlipa kodi!
Wanafanya safari zisizo na Tina kwa nchi na wananchi ,mm nilimjua mapema kuwa mama ni limbukeni kama siyo athari chanya za magufuli leo mama angekuwa kesha tembelea nchi za ulaya zaidi ya 12
 
Nisisikie mataga wakilalamika mlitaka monoparty bungeni ccm watupu ona sasa

Bunge limejaa kijani tuu halafu chama kimoja halaf wabunge wenyewe walipitishwa kwa dhulma na wengi shule hamna unatarajia nini

Alaumiwe mwendazake maana haya maumivu ya kodi na tozo ni kwasababu ya wabunge waliotuletea watu wa ndio mzee tu

Mwigulu kachemka sana ajiuzulu tu sijui huyu mama alimuokota wapi?hivi kasoma kweli?kwanza kanjanja kanjanja tu
 
Zipo kila dalili kuwa hali ya uchumi kwenye utawala huu wa Rais Samia unaenda kuwa fyongo! Hali hii itaenda kuyafanya maisha ya wananchi kuwa magumu sana....
Huko kwenye hizo rasilimali ulizozitaja, nako kodi zake hazishikiki, sera hazieleweki, ndiyo maana kila mmoja anakuwa mwoga kwenda kuwekeza mabilioni huko. Kwa hiyo hakuna makusanyo wanayoweza kuyapata huko.

Wakati marehemu ikinyonga uwekezaji na biashara za matajiri, maskini walikuwa wakishangilia. Sasa wa kumnyonga hayupo, inalazimu kumnyonga maskini aliyekuwa akishangilia wakati matajiri wananyongwa. Hii kwa namna fulani inaweza kuwarudishia watanzania akili maana wengi waluzupoteza wakati wa awamu ya 5.

Mama Samia anataka kurudisha uwekezaji lakini mambo ya msingi hajayagusa. Nilikuwa naongea na mkurugenzi mmoja wa kamapuni iliyoondoka nchini, swali lake kubwa lilikuwa, ni nini kilichobadilika kwenyeazingira ya uwekezaji zaidi ya kauli? Nilimjibu, hakuna. Maana sheria bado ni zile zile. Halafu awamu iliyopita pia kulikuwa na suala pia la kutoheshimu sheria yoyote. Rais anaweza kuamuru chochote dhidi ya kitegauchumi chako. DC, RC na Waziri wanaweza kukunyanyasa kadiri watakavyo.

Kujenga imani kwa wawekezaji, msidhani itatokea mara moja.

Kwa hiyo mtegemee kodi hizi kuongezeka, na huduma nyingi kudorora.
 
kwa hiyo unapenda vya buree eeehh!

unataka usadiwe na mataifa ya ulaya eeeh!

kumbuka pia misaada tunayo ipata kutoka nchi za ulaya ni KODI ZA WANANCHI WA MAREKANI, UGERUMANI, DENMARK,

NEWZELAND, FRANCE, CHINA, UINGEREZA N.K, wananchi wazalendo wa nchi hizo wanatozwa kodi ambazo zingine ndio tunapewa ss misaada na wakati mwengine tunakopeshwa.

acheni kuwa walemavu wa akili lipeni kodi ili itusaidie maendeleo yetu. Taifa imara itajengwa na sisi watanzania wenyewe kwa kulipa kodi sio kutegemea misaada au mikopo.
 
kwa hiyo unapenda vya buree eeehh!

unataka usadiwe na mataifa ya ulaya eeeh!

kumbuka pia misaada tunayo ipata kutoka nchi za ulaya ni KODI ZA WANANCHI WA MAREKANI, UGERUMANI, DENMARK, NEWZELAND, FRANCE, CHINA, UINGEREZA N.K, wananchi wazalendo wa nchi hizo wanatozwa kodi ambazo zingine ndio tunapewa ss misaada na wakati mwengine tunakopeshwa.

acheni kuwa walemavu wa akili lipeni kodi ili itusaidie maendeleo yetu. Taifa imara itajengwa na sisi watanzania wenyewe kwa kulipa kodi sio kutegemea misaada au mikopo.
 
WaTz Buana😂😂😂😂😂

Sisi ndo tunataka atuongezee mishahara, sisi ndo tunataka kila kitu chema tufanyiwe.

Lkn kukitokea jitihada kidogo tuu za kuhakikisha hayo yote yanafikiwa kele zinakua nyiingiii😢😢😢😢😢😢

Mlitaka Mama apate wapi mapato na vyanzo vipya!!?

Mbona Hayati Magufuli aliwapora watu fedha zao, kuwabambikia kesi za uhujumi uchumi watu na hakuongeza mishahara na kubambikia watu kodi.

Hamkulalamika kwa sababu iliwahusu wachache auu!!!?

Tulizeni mtori wazee Nyama zipo chinii.

By the way hatujalazimishwa kutumia. Ukiona gharama achana nazoo!!!
Bank zipo kila mahali kwa sasa

Tuache kulalamika.
 
Wameshandaa beti na chorus...wasikilize tu vizuri utaelewa...
Tuliwaambia wasifananishe moyo wa magufuli na mambo ya kijinga awakutuelewa, sasa tunawaambia wasubiri miezi 6 ijayo ndiyo watajua hasara ambayo tz tumeipata kwa kutuondoshea kiongozi wetu asiye penda dhuruma
 
Tatizo upinzani watz kumejaa utopolo ni kama ccm bila ya magufuli ni utopolo so utopolo + utopolo =?
Mliokuwa mnamponda magu muda utaongea siku si nyingi mtakosa hata pakuweka sura zenu
Magu ni shetani aliekufa for a good reason.
 
Nisisikie mataga wakilalamika mlitaka monoparty bungeni ccm watupu ona sasa

Bunge limejaa kijani tuu halafu chama kimoja halaf wabunge wenyewe walipitishwa kwa dhulma na wengi shule hamna unatarajia nini...
Ila wabunge walitishwa kumbuka kabla ya kupiga kura ya bajeti, ndugai aliwaambia kuwa wasipopitisha raisi ana uwezo wa kuvunja bunge
 
Hongera Rais wangu kwa jitihada nzuri kwetu Wananchi wako

Sasa Mama yetu nina ombi moja kwako. Ongezea na lock down tafadhali.
 
Hakika Sasa nimeamini kumbe Wapinzani Walituchelewesha sana Kukusanya KODI
WATANZANIA hii inayoitwa KODI ya Uzalendo ndile ile KODI YA MAENDELEO nadhani MKAPA ALIIFUTA sasa umerudi Kwa Jina LINGINE Tutarajie KODI ya BAISKELI nayo INAKUJA TANZANIA imepania BARABARA ZA VIJIJINI KUWA ZA LAMI
WAPINZANI WALITUCHELEWESHA SANA.
 
Tatizo la wapinzani ni kutumia michango wanayokusanya kutoka kwa nyumbu wao kwenda kulewea kama ilivyotokea kwa yule mwenyekiti alievunjika mguu kwa sababu ya konyagi, huku kodi zinazokusanywa na serikali zinatumika kujenga shule, barabara na hospital.
 
Hakika Sasa nimeamini kumbe Wapinzani Walituchelewesha sana Kukusanya KODI
WATANZANIA hii inayoitwa KODI ya Uzalendo ndile ile KODI YA MAENDELEO nadhani MKAPA ALIIFUTA sasa umerudi Kwa Jina LINGINE Tutarajie KODI ya BAISKELI nayo INAKUJA TANZANIA imepania BARABARA ZA VIJIJINI KUWA ZA LAMI
WAPINZANI WALITUCHELEWESHA SANA.
Bila shaka wewe ndiye waziri husika maana si kwa bangi hizo aisee
 
Back
Top Bottom