Watu mnamaneno.
Ushauri msimseme sana Rais,njia pekee msiejitokeze barabarani kwani Hamna uvumilivu kama ambavyo Magu hakuwa mvumilivu.
Mfano Shaka alimtumbua.
RC Makala vivyo hivyo.
Leo viongozi tena.Mama mvumilivu anafuta taratibu.
Hoja ya kusikiliza watu barabarani kwa mda mfupi nimeona hakumfai,siyo karama yake ya papo kwa papo.
Ushauri msimseme sana Rais,njia pekee msiejitokeze barabarani kwani Hamna uvumilivu kama ambavyo Magu hakuwa mvumilivu.
Mfano Shaka alimtumbua.
RC Makala vivyo hivyo.
Leo viongozi tena.Mama mvumilivu anafuta taratibu.
Hoja ya kusikiliza watu barabarani kwa mda mfupi nimeona hakumfai,siyo karama yake ya papo kwa papo.