jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,690
- 7,556
Sasa mtu kutekeleza jukumu lake kwa wakati Katiba hapo inaiingiaje!? Mbona kuna wengine ndani ya hizo hizo office za Umma wanatimiza wajibu wao na kazi zao kwa wakati!!?Sawa ni KATIBA
Sasa mtu kutekeleza jukumu lake kwa wakati Katiba hapo inaiingiaje!? Mbona kuna wengine ndani ya hizo hizo office za Umma wanatimiza wajibu wao na kazi zao kwa wakati!!?Sawa ni KATIBA
Ukisafiri Dar to Dom vice versa lazima ukae foleni kupisha msafaraHii style haina msaada wowote, zaidi anatusababishia foleni na kutupotezea muda.