Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,820
- 33,196
SSHSamia Suluhu Hassan
Secure Shell
SSHSamia Suluhu Hassan
Juma Mohamed (Jay mo)Siana ni akina ya JM
jerry mulo
January makamba
John mnyika
Jenistee mhagama
Ahahahahahaha yani umeamua tu kuchagua hao as if ndo viongozi peke yao, Kabudi je? Au kwa kuwa katolewa jalalani mzee?
Mizengo?
Kikwete?
Hassani?
Gwajima?
Lemutuz?
Bi nyau?
Tuambie kwanza kwa nini picha yake official anaangalia ant clockwise?
Au hujui mambo ya pictorial
Samia akigombea na kushinda 2025 atakuwa kaongoza awamu mbili?Awamu hutenganishwa na chaguzi za kila miaka 5-10, Rais anapotoka madarakani kwa utaratibu wa uchaguzi maana yake inaingia awamu nyingine.
Unawezaje kuiita hii awamu ya sita ikiwa sera ni zile zile, ilani ya chama cha siasa (CCM) ni ile ile plan ya serikali ni ile ile, mpaka sasa Baraza la mawaziri ni lile lile, aliyebadilika ni Rais tu.
2025 tutaanza awamu ya sita hata kama Rais akibaki Mh. Suluhu Hassan.
Waislamu hawajawahi kutuangusha kwanza Wana ka utu japo shida ya uongozi wao ni kuibuka kwa magenge ya mujahidina yanayosumbuaga wengine1. Awamu ya kwanza - watu walifulia majani ya mpapai - Njaa Njaa - Christian
2.Awamu ya Pili Ruksa - Full Bata hela Nje nje -Muslim
3.Awamu ya tatu - Mkapa - Full Ukata Full Ukapa - Christian
4.Awamu ya nne - Jakaya - Maisha bora kwa kila mtanzania - Muslim.
5.Awamu ya tano - Magufuli - Watu waliishi kama mashetani - Christian.
6.Awamu ya sita - Samia - ???? - Muslim.
Kwa sie tuliosoma sequence na series unajua kinachofuata.
that is her photogenic side kumbuka ni mwanamama, kila kitu lazima kiwe perfect. akianza kuvaa barakoa atakuwa ana mechisha na scarf piaTuambie kwanza kwa nini picha yake official anaangalia ant clockwise?
Au hujui mambo ya pictorial