Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Moja kwa moja kwenye mada. Mheshimiwa Rais wetu mpendwa mama yetu mama Samia Suluhu Hasani amjipambanua na kweli ukimuangali usoni unaona kabisa kuwa mama hapendi mambo ya dhulma ikiwemo kodi.
Hoja yangu ni juu ya mali ilizojimilikisha CCM baada ya uwepo wa mfumo wa vyama vingi. Nitajikita katika viwanja vya michezo ikiwemo Kirumba Mwanza, Kambarage Shinyanga, Al Hasan Tabora, Samora, Karume n.k.
Kusema ukweli viwanja hivi havikujengwa na CCM. Viwanja hivi vimejengwa na wananchi wote wa Tanzania waliokuwepo wakati huo. Kumbuka utaratibu wa ukusanyaji kodi wa wakati huo haukuwa wa kueleweka, hivyo isingekuwa rahisi wizara ya fedha kupitia bajeti za serikali kujenga viwanja hivi.
Njia rahisi iliyoonekana inawezekana kuwa na viwanja hivi ilikuwa ni kuwachangisha wananchi. Jambo la kutafakari ni kwamba hakuwahi kuwepo mkutano wa hadhara wa wanaCCM au mkutano mkuu wa wanaCCM ulioidhinisha kuwachangisha wanachama wa chama cha mapinduzi kuridhia kujenga viwanja hivi.
Jambo lililofanyika ni mamlaka za serikali kuu au serikali za mitaa kuwatoza wananchi michango ya lazima wananchi wote bila kuuliza uanachama wake. Uwe mwanachama, usiwe mwanachama ulichangia utake, usitake labda kama unataka kufa. Utaratibu uliotumika ni ufuatao:
1) Mchango kupitia nauli za mabasi: Bila kujali unaenda hospitali, shuleni, msibani au polisi katika nauli za kusafiri kuliongezwa pesa ya mchango wa ujenzi wa uwanja. MHESHIMIWA RAIS, HAPO TUNAWEZA KUSEMA CCM IMEJENGA VIWANJA?
1) Katika manunuzi ya bidhaa
Moja kwa moja kwenye mada. Mheshimiwa Rais wetu mpendwa mama yetu mama Samia Suluhu Hasani amjipambanua na kweli ukimuangali usoni unaona kabisa kuwa mama hapendi mambo ya dhulma ikiwemo kodi.
Hoja yangu ni juu ya mali ilizojimilikisha CCM baada ya uwepo wa mfumo wa vyama vingi. Nitajikita katika viwanja vya michezo ikiwemo Kirumba Mwanza, Kambarage Shinyanga, Al Hasan Tabora, Samora, Karume n.k.
Kusema ukweli viwanja hivi havikujengwa na CCM. Viwanja hivi vimejengwa na wananchi wote wa Tanzania waliokuwepo wakati huo. Kumbuka utaratibu wa ukusanyaji kodi wa wakati huo haukuwa wa kueleweka, hivyo isingekuwa rahisi wizara ya fedha kupitia bajeti za serikali kujenga viwanja hivi.
Njia rahisi iliyoonekana inawezekana kuwa na viwanja hivi ilikuwa ni kuwachangisha wananchi. Jambo la kutafakari ni kwamba hakuwahi kuwepo mkutano wa hadhara wa wanaCCM au mkutano mkuu wa wanaCCM ulioidhinisha kuwachangisha wanachama wa chama cha mapinduzi kuridhia kujenga viwanja hivi.
Jambo lililofanyika ni mamlaka za serikali kuu au serikali za mitaa kuwatoza wananchi michango ya lazima wananchi wote bila kuuliza uanachama wake. Uwe mwanachama, usiwe mwanachama ulichangia utake, usitake labda kama unataka kufa. Utaratibu uliotumika ni ufuatao:
1) Mchango kupitia nauli za mabasi: Bila kujali unaenda hospitali, shuleni, msibani au polisi katika nauli za kusafiri kuliongezwa pesa ya mchango wa ujenzi wa uwanja. MHESHIMIWA RAIS, HAPO TUNAWEZA KUSEMA CCM IMEJENGA VIWANJA?
1) Katika manunuzi ya bidhaa