Rais Samia: Haikuwa na maana kuchoma vifaranga wa kuku mpakani

Mnakamatwaje wakati nyie MAJIZI ndio mlioshika serikali? We ulisikia wapi JIZI linajikamata?

Halafu pia tutajifukizaje wakati kuna magunia ya dozi za chanjo zilizokuja na dollars!

Chezea dollars wewe! MAJIZI mnafakamia pesa za mzungu bila kunawa!

Wagonjwa wa corona wamefika wangapi sasa hivi? Laki ngapi?

Nasikia pia makaburi yamepanuka? Mnapanua viwanja vya makaburi ya wafu wa corona?
Jizi namba moja mwenyezi mungu karichukua
 
Kwahiyo wagonjwa wa corona nao tuwapige kiberiti uwanja wa ndege? Hivi kweli unaanzaje kuchoma moto kiumbe hai hatakama ni chawa,

Tumekuwa miungu uchwara kupokea sadaka za kuteketeza
Hahahahaha ......corona unapigwa lockdown.
 
Sehemu vifaranga vilipochomewa ni wilaya ya Longido ambako kipindi hicho alikuwepo Chongolo ambaye kwa sasa ni katibu mkuu wa CCM, kwanini alitekeleza kama sababu hazikuwa na mashiko? Mmiliki wa vifaranga alijitokeza vilipokamatwa? Ripoti ya vet ilionesha vifaranga vilikuwa na vimelea vya magonjwa ya kuku, je ilikuwa sahihi kuruhusu ugonjwa uingizwe nchini na kuhatarisha uhai wa viumbe na afya za watanzania?

Hilo swali lako eti mmiliki alijitokeza vilipokamatwa, inaonekana wewe hiyo taarifa uliikota kwenye vijiwe we gongo!
Hivyo vifaranga vilikamatwa vikiwa vyenyewe bila mmiliki au aliyepewa kazi ya kuvisafirisha!?
Mmilika wa vifaranga aliwekwa korokoroni na alikuwa anaitwa Mary Matia, kama ulikuwa hujui ujue sasa!
Na aliwaomba avirudishe Nairobi wakagoma, kwa kutoa sababu kwamba viliingia nchini kinyume cha sheria!
Hiyo taarifa yako ya vet unayosema wale vifaranga walikuwa na vimelea vya magonjwa ya kuku iweke hapa ilikiwa inaonyesha hivyo vimelea vilikuwa vya ugonjwa gani!
 
Katika kongamano la biashara lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam ambalo limehusisha viongozi wawili wakubwa ambao ni Rais wa Uganda Yoweri Museveni na Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu.

Rais wa Tanzania Samia Suluhu amesema kwamba hakukuwa na haja ya kuchoma vifaranga waliokamatwa nchini Tanzania kutoka nchi jirani.

Amesema pia kuna kipindi ilitokea pia Sukari kutoka nchi ya Uganda iligomewa na wafanya biashara kutoka Tanzania, hivyo amemueleza Rais Museven kwamba hivi sasa Sukari kutoka Uganda itanunuliwa na wafanyabiashara wa Tanzania!

Amehimiza pia kwamba vikwazo vya kibiashara kati ya nchi hizi mbili viondolewe!

Hayo yamesemwa wakati Kongamano hilo likifungwa.
Mimi na Magu kitu kimoja.😂😂😂😂
 
Katika kongamano la biashara lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam ambalo limehusisha viongozi wawili wakubwa ambao ni Rais wa Uganda Yoweri Museveni na Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu.

Rais wa Tanzania Samia Suluhu amesema kwamba hakukuwa na haja ya kuchoma vifaranga waliokamatwa nchini Tanzania kutoka nchi jirani.

Amesema pia kuna kipindi ilitokea pia Sukari kutoka nchi ya Uganda iligomewa na wafanya biashara kutoka Tanzania, hivyo amemueleza Rais Museven kwamba hivi sasa Sukari kutoka Uganda itanunuliwa na wafanyabiashara wa Tanzania!

Amehimiza pia kwamba vikwazo vya kibiashara kati ya nchi hizi mbili viondolewe!

Hayo yamesemwa wakati Kongamano hilo likifungwa.
Mimi na Magu kitu kimoja.😂😂😂
 
Katika kongamano la biashara lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam ambalo limehusisha viongozi wawili wakubwa ambao ni Rais wa Uganda Yoweri Museveni na Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu.

Rais wa Tanzania Samia Suluhu amesema kwamba hakukuwa na haja ya kuchoma vifaranga waliokamatwa nchini Tanzania kutoka nchi jirani.

Amesema pia kuna kipindi ilitokea pia Sukari kutoka nchi ya Uganda iligomewa na wafanya biashara kutoka Tanzania, hivyo amemueleza Rais Museven kwamba hivi sasa Sukari kutoka Uganda itanunuliwa na wafanyabiashara wa Tanzania!

Amehimiza pia kwamba vikwazo vya kibiashara kati ya nchi hizi mbili viondolewe!

Hayo yamesemwa wakati Kongamano hilo likifungwa.
Mbona hayo hakuyasema wakati ule!tunamlaumu bure Slowslow
 
Mbona hatukamatwi?

Kafa kwa ujinga wake wa kujifukiza...umesikia nani anajifukiza siku hizi?
Acha kumtukana raisi mbwa wewe, usijione umefika Kikomo na kama huwezi kuchangia hoja kwa ustarabu achana na mitandao...
 
Acha kumtukana raisi mbwa wewe, usijione umefika Kikomo na kama huwezi kuchangia hoja kwa ustarabu achana na mitandao...
Rais ni Samia sio huyo unaemtaja.

Punguza ujinga wa kuabudu wafu waliooza tayari🚮🚮

Ulivyo empty set kichwani hujui ata kutofautisha ukweli na matusi,very sad!
 
Hilo swali lako eti mmiliki alijitokeza vilipokamatwa, inaonekana wewe hiyo taarifa uliikota kwenye vijiwe we gongo!
Hivyo vifaranga vilikamatwa vikiwa vyenyewe bila mmiliki au aliyepewa kazi ya kuvisafirisha!?
Mmilika wa vifaranga aliwekwa korokoroni na alikuwa anaitwa Mary Matia, kama ulikuwa hujui ujue sasa!
Na aliwaomba avirudishe Nairobi wakagoma, kwa kutoa sababu kwamba viliingia nchini kinyume cha sheria!
Hiyo taarifa yako ya vet unayosema wale vifaranga walikuwa na vimelea vya magonjwa ya kuku iweke hapa ilikiwa inaonyesha hivyo vimelea vilikuwa vya ugonjwa gani!
Kwanini aliomba avirudishe Nairobi kama kulikuwa hakuna dosari?
 
Vifaranga vilikua vya magendo,,,,, Hata wenye vifaranga walikimbia vikawa havijulikani mmiliki,,,,,, Na kipindi kile kulikua na tatizo la mafua ya ndege. JPM HAKUFANYA KOSA KUVICHOMA
 
Kwanini aliomba avirudishe Nairobi kama kulikuwa hakuna dosari?

Mbona unauliza maswali ya kijinga hivyo?
Tatizo lako ni kwamba hukufuatilia hiki kisa kiundani! Ungefanya hivyo wala usingeuliza hapo kabla kama mmiliki alijitokeza ama lah!
Nimekuambia poa leta ripoti hiyo uliyosema ya Vet inayoonyesa wale vifaranga walikuwa na vimelea vya ugonjwa wa kuku lakini umekwepa!

Btw mpaka Rais Samia akasema alivyosema kwamba haikuwa na maana ujue hakukurupuka kama wewe! Yeye anataarifa nyingi zaidi kuhusu hivyo vifaranga, asingeweza kusema yote!
 
Mbona unauliza maswali ya kijinga hivyo?
Tatizo lako ni kwamba hukufuatilia hiki kisa kiundani! Ungefanya hivyo wala usingeuliza hapo kabla kama mmiliki alijitokeza ama lah!
Nimekuambia poa leta ripoti hiyo uliyosema ya Vet inayoonyesa wale vifaranga walikuwa na vimelea vya ugonjwa wa kuku lakini umekwepa!

Btw mpaka Rais Samia akasema alivyosema kwamba haikuwa na maana ujue hakukurupuka kama wewe! Yeye anataarifa nyingi zaidi kuhusu hivyo vifaranga, asingeweza kusema yote!
Wakati vinachomwa huyo rais wa sasa hakuwepo serikalini? Kwanini hakujiuzulu kama aliona maamuzi yaliyofanywa yalikuwa sio sahihi kama sio unafiki ni nini?

Halafu usiniambie nauliza maswali ya kijinga wakati wewe ndio uko gizani hujui kipi ni kipi; mmekazania kumshambulia mtu ambaye tayari ni mfu sijui ninyi wa watu wa aina gani, je anawatokea kila siku na kuwafanya mjihisi mawenge wenge?
 
Wakati vinachomwa huyo rais wa sasa hakuwepo serikalini? Kwanini hakujiuzulu kama aliona maamuzi yaliyofanywa yalikuwa sio sahihi kama sio unafiki ni nini?

Halafu usiniambie nauliza maswali ya kijinga wakati wewe ndio uko gizani hujui kipi ni kipi; mmekazania kumshambulia mtu ambaye tayari ni mfu sijui ninyi wa watu wa aina gani, je anawatokea kila siku na kuwafanya mjihisi mawenge wenge?

Nakazia...Unauliza maswali ya kijinga!
Hayo unayoendelea kuuliza ndiyo yanayozidi kukuweka uchi ulivyomweupe kichwani!
Huyo mfu unayemtetea hapa aliondolewa kwa uovu wake ambao watu kama nyie ndio mlikuwa mkimsifia!
Mataga hivi sasa mnalalia mlichokuwa mnataga, bado kodogo mtatotoa...
 
Mhutu😂
Naona genge flani linatoa povu Kwa Bibi Hangaya eti ni mnafiki yeye alikua part ipi kipindi ule upuuzi wa kuchoma vifaranga unafanyika huko wakisahau utawala wa Mwendawazimu jiwe,mtu mwenye faili lake Milembe alikua anakuja na maamuzi inategemeana ameamkaje!
Mnajisahaulisha ya kwamba yule bwana alikua na kichaa Cha mbwa Koko hataki kushaurika plus ujuaji wa kishamba na ukizingatia bi Hangaya ni mwanamke na yule bwana ni mhutu na mwanaume wa kihutu hua hawasikilizi ushauri wa wanawake wakiamini ya kwamba Hana alijualo!
Hahahahahaha!
 
Katika kongamano la biashara lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam ambalo limehusisha viongozi wawili wakubwa ambao ni Rais wa Uganda Yoweri Museveni na Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu.

Rais wa Tanzania Samia Suluhu amesema kwamba hakukuwa na haja ya kuchoma vifaranga waliokamatwa nchini Tanzania kutoka nchi jirani.

Amesema pia kuna kipindi ilitokea pia Sukari kutoka nchi ya Uganda iligomewa na wafanya biashara kutoka Tanzania, hivyo amemueleza Rais Museven kwamba hivi sasa Sukari kutoka Uganda itanunuliwa na wafanyabiashara wa Tanzania!

Amehimiza pia kwamba vikwazo vya kibiashara kati ya nchi hizi mbili viondolewe!

Hayo yamesemwa wakati Kongamano hilo likifungwa.

Kwan sheria inasemaje asije akawa anajichatua?
 
Mazuio ya kibiashara ya yasiyo na tija yanarudisha nyuma mzunguko wa pesa kwa mwananchi wa kawaida,safi mama fungua nchi ugumu wa maisha umeanza kupungua huku mtaani tunataka Tanzania tuwe kitovu cha biashara Afrika Mashariki.
 
Muda ni mwalimu mzuri, sasa hivi anaelewa kwanini watu wana njia Kali za kupambana na nyang'au
 
Back
Top Bottom