Rais Samia: Haikuwa na maana kuchoma vifaranga wa kuku mpakani

Daah! wale vifaranga walivyochomwa tukaambiwa eti wanamagonjwa, kumbe ilikuwa roho mbaya ya Bwana yule. Taratiiibu ukweli wa yaliyofichwa unaanza kuwekwa wazi! Soon hata wale wasiojulikana wanaojulikana maza atawasema siku moja mchana kweupe!
Bado anawakereketa tu matak.oni...jikune tu
 
Sheria inasemaje kuhusu kuingiza vifaranga nchini? tufuate sheria au tufuate huruma ya mungu? , kuna haja gani ya kuwa na sheria nchini ? mimi nilifikiri Samia kaapa kulinda katiba na sheria za nchi kumbe hajui chochote alichoapa, ya mungu mpe mungu na kaisali mpe kaisali, by the way hajachelewa kama anataka kila kitu vifaranga au mifugo iingie Tanzania kutoka kokote duniani apeleke bungeni mswada ili sheria ibadilishwe lasivyo atakuwa anawachanganya watendaji na watalaam wake walioko mipakani , kweli CCM ni Janga la Taifa, kila mtu mnafiki ,huyu tulienae ndo janga zaidi yaani hajui anasimamia wapi, hana dira , hana msimamo, hana vision yeyote zaidi kulipotezea taifa muda na resources.
 
Bado anawakereketa tu matak.oni...jikune tu

Inaonyesha wewe ni mzoefu wa kujikuna huko matkon! Kazana boss, endelea kwa kasi hiyo hiyo!
Kama nilichokiandika kimekuboa ungeignore tu! Otherwise utaumia sana kwa utakavyoona vinavyoendelea kuandikwa!
 
Basi tupunguze mlolongo wa taasisi zinazokamua viwanda kama OSHA,EWURA,Bei ya umeme,TRA.WCF.NHIF,NSSF/PSSSF.ushuru wa manispaa,ushuru wa kutumia taka.
 
Mimi nadhani, jambo la kwanza, yule Mtanzania ambaye alikuwa amenunua vifaranga toka Kenya kwa sh 12m, angepewa siku chache za kukamilisha documentation huko mamlaka za Kenya. Kama angefanikiwa kukamilisha documentation, kisha aendelee na vifaranga wake. Kama angeshindwa, angegharamia upimaji wa vifaranga, angelipishwa fine. Kama vifaranga wana magonjwa ya mlipuko, wangetekezwa.
kwani biashara ya magendo ikikamatwa(iliyoingia nchini kinyemera) mhusika hua anapewa muda wa kukamilisha taratibu za kiserikali? mbona juzi sukari ilikamatwa mbeya mhusika hakurudishiwa bali ilitaifishwa na kugaiwa taasisi za serikali ambazo ni magereza,shule n.k kwani serikali ya mh.Samia haikuona
 
After all she was one of them. Seems doesn't understand collective responsibility.
Shida anatumia nguvu nyingi kujisafisha badala ya kujenga legacy yake.which ni kitu kibaya kumchafua mwingine ili wewe uonekane msafi angali wote mlikula kibudu.
 
Inaonyesha wewe ni mzoefu wa kujikuna huko matkon! Kazana boss, endelea kwa kasi hiyo hiyo!
Kama nilichokiandika kimekuboa ungeignore tu! Otherwise utaumia sana kwa utakavyoona vinavyoendelea kuandikwa!
Endeleen kujikuna
 
Katika kongamano la biashara lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam ambalo limehusisha viongozi wawili wakubwa ambao ni Rais wa Uganda Yoweri Museveni na Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu.

Rais wa Tanzania Samia Suluhu amesema kwamba hakukuwa na haja ya kuchoma vifaranga waliokamatwa nchini Tanzania kutoka nchi jirani.

Amesema pia kuna kipindi ilitokea pia Sukari kutoka nchi ya Uganda iligomewa na wafanya biashara kutoka Tanzania, hivyo amemueleza Rais Museven kwamba hivi sasa Sukari kutoka Uganda itanunuliwa na wafanyabiashara wa Tanzania!

Amehimiza pia kwamba vikwazo vya kibiashara kati ya nchi hizi mbili viondolewe!

Hayo yamesemwa wakati Kongamano hilo likifungwa.
Sehemu vifaranga vilipochomewa ni wilaya ya Longido ambako kipindi hicho alikuwepo Chongolo ambaye kwa sasa ni katibu mkuu wa CCM, kwanini alitekeleza kama sababu hazikuwa na mashiko? Mmiliki wa vifaranga alijitokeza vilipokamatwa? Ripoti ya vet ilionesha vifaranga vilikuwa na vimelea vya magonjwa ya kuku, je ilikuwa sahihi kuruhusu ugonjwa uingizwe nchini na kuhatarisha uhai wa viumbe na afya za watanzania?
 
Ukisha-condemn kuwa shehena flani ya live animals or animal parts ina magonjwa flani of quarantine importance hawapokelewi tena hata huko walipotoka. Kwa hiyo Kenya isingekubali kupokea tena wale viranga kwa sababu wangeenda kueneza magonjwa kwao. Huo ndo utaratibu wa quarantine duniani kote. Ilikuwa sahihi kupiga kiberiti. Wanasiasa wasitumie ubumbumbu wao kuhadaa jamii. Watafute facts na sheria ya mipaka ya nchi. Nchi yetu ni signatory ya mikataba kadhaa ya kimataifa ikiwemo quarantine issues.
Kwahiyo wagonjwa wa corona nao tuwapige kiberiti uwanja wa ndege? Hivi kweli unaanzaje kuchoma moto kiumbe hai hatakama ni chawa,

Tumekuwa miungu uchwara kupokea sadaka za kuteketeza
 
Hangaya ni msanii tu wala hajui lolote kuhusu uchumi.

Nasikia alikuwa sekretari wa NGO anahudumia dawati la jinsia.

Halafu hapa anajitutumua kumpinga MKEMIA the Bulldozer JPM... !! Weee thubutuu!!

Hata huo mshahara tunaomlipa sijui kama anajua unatoka wapi. Yeye akifika hazina anachota tu anatia kwenye kapu anaruka kwenda zenji kutalii na kunywa kahawa.

This Hangaya woman is an illiterate FAT busy body. She is uneducated and lacks the necessary knowledge on how to run the economy.

Yeye ni kula kashata tu.
Wewe ukitutajia hiyo takataka unatuchefua kabisa jamaa yako hakuwa binadamu wa kawaida muuaji,muongo,katiri,kibaka,mpenda wake za watu,inshort mwenyezi mungu aliamua kutuadhibu sisi watanzania
 
Back
Top Bottom