Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Yaani yule mzee alikuwa mkatili sana...unaamrisha vifaranga vya kuku vichomwe vina kosa gani? Kama alichoma vifaranga watu wangapi aliwaua? Na yeye huko aliko anachomwa kama vile vifaranga
Wale vifaranga walikuwa wanaumwa nn?Ukisha-condemn kuwa shehena flani ya live animals or animal parts ina magonjwa flani of quarantine importance hawapokelewi tena hata huko walipotoka. Kwa hiyo Kenya isingekubali kupokea tena wale viranga kwa sababu wangeenda kueneza magonjwa kwao. Huo ndo utaratibu wa quarantine duniani kote. Ilikuwa sahihi kupiga kiberiti. Wanasiasa wasitumie ubumbumbu wao kuhadaa jamii. Watafute facts na sheria ya mipaka ya nchi. Nchi yetu ni signatory ya mikataba kadhaa ya kimataifa ikiwemo quarantine issues.
Hakuna mwaka sukari ya ndani ilitosheleza, acha uongo wewe! Sasa unaona ni sawa watu waagize sukari Brazil badala ya Uganda? Tumia akili..Chief Hangaya ni "mjinga wa kiuchumi" . She is an ignoramus when it comes to economy.
Nchi zote zilizoendelea kiuchumi lazima zinazingatia ulinzi wa bidhaa za ndani.
Because otherwise you are going to be a dumping site. Bidhaa za ndani zitakufa na zitashuka thamani. Unaua uchumi wa wafanyabiashara.
Sijui kala maharage ya wapi huyu bibi! Mhhh!
Yule alikuwa nyampara wa barabara tu! Anatoa kauli hadharani kama "baki na mavi yako nyumbani!" Yule alikuwa mwehu wa mirembeTanzania iliingia mkosi kupata Rais aina ya magufuri coz alitaka kuondesha Nchi kama mali ya familia yake. Alikuwa mchapa kazi ila skills za uongozi hakubahatika kuwa nazo, kiongozi mwenye tabia ya kupanic, kufanya double standard, kutisha watu wanaomkosoa, kupenda kusifiwa, kauli mbaya mbele ya umma na kufanya chochote anachojisikia hata kama nikibaya. Alikuwa mchapa kazi hasa kusimamia miundo mbinu ila kuongoza taifa bado Sana.
Mwambie kima huyo hajui kituHakuna mwaka sukari ya ndani ilitosheleza, acha uongo wewe! Sasa unaona ni sawa watu waagize sukari Brazil badala ya Uganda? Tumia akili..
Magufuli hakuwa na tabia ya kushauriana na mtu anapofanya mambo yake...usitake kujifanya hujui ili umpe ubaya mamaUjumbe wangu ni kwamba Samia ni mnafiki na anafikiri kuwa kila mtu ni mjinga kama wewe.Yeye alikuwa ni makamu wa Rais kipindi vifaranga vinachomwa moto,ametuambia kuwa alifanya jitihadha gani yeye kama makamu wa Rais kipindi hicho ili kuokoa vifaranga visichomwe moto?
Hamna kitu hapo...yeye mwenyewe mjinga sana tuSisi wajinga tunaweza kujifunza kutoka kwako kama ni mtanzania mwenye mawazo chanya ya ujenzi wa taifa letu. Ingekuwa vizuri ukatupa logic yako ili hata ya mistari minne ili angalua ujinga utupungue
Kwani katika uongozi ishu ni Rais kutokuwa na tabia ya kushauriana na makamu wake au ishu ni sheria zinasemaje?Magufuli hakuwa na tabia ya kushauriana na mtu anapofanya mambo yake...usitake kujifanya hujui ili umpe ubaya mama
Swali bado ni lilelile, huyo mama alikuwa anafanya kazi gani? Na kwanini hakujiudhuru? Ni mnafki!Naona genge flani linatoa povu Kwa Bibi Hangaya eti ni mnafiki yeye alikua part ipi kipindi ule upuuzi wa kuchoma vifaranga unafanyika huko wakisahau utawala wa Mwendawazimu jiwe,mtu mwenye faili lake Milembe alikua anakuja na maamuzi inategemeana ameamkaje!
Mnajisahaulisha ya kwamba yule bwana alikua na kichaa Cha mbwa Koko hataki kushaurika plus ujuaji wa kishamba na ukizingatia bi Hangaya ni mwanamke na yule bwana ni mhutu na mwanaume wa kihutu hua hawasikilizi ushauri wa wanawake wakiamini ya kwamba Hana alijualo!
Hahahahahaha!
Unapotekeleza sheria ya nchi ya boarder entry huhitaji kuuliza Importer kama huko alipotoa shehena waliiobakia wana hali gani. Kinachotakiwa Ni importer kutoa nyaraka zote za importation, inspection report pamoja vya vipimo vya veterinary. Kama hivyo vitu havipo sheria inasema teketeza shehena au zika. That's it. Kwanini uingize shehena nchini isiyo na documentation yoyote?Wale vifaranga walikuwa wanaumwa nn?
Ni batch hiyo tu ndo waliokuwa wanaumwa?
Kule walipotokea, waliobakia nao walichomwa moto?
Kwamba baada ya kuwachoma na ugonjwa wenyewe ndo ukatoweka kbs!?
Acheni ushetani"
ungekua wewe ungejiuzuru?Swali bado ni lilelile, huyo mama alikuwa anafanya kazi gani? Na kwanini hakujiudhuru? Ni mnafki!
Hizo sheria kamsomee Magu huko motoni...am not interestedKwani katika uongozi ishu ni Rais kutokuwa na tabia ya kushauriana na makamu wake au ishu ni sheria zinasemaje?
Unaweza kupeleka ushahidi wako huu mahakamani uiambie mahakama kuwa Samia hana hatia kwa sababu Magufuli hakuwa na tabia ya kushauriana na makamu wake?
Unaelewa kuwa mahakama itaangalia sheria zinasemaje na wala siyo Magufuli alisemaje?Unaelewa kuwa nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa mujibu wa tabia ya mtu?
Hapa jambo la msingi siyo wewe kuwa interested na sheria au la,jambo la msingi hapa ni kwamba taka usitake nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria.Hizo sheria kamsomee Magu huko motoni...am not interested
Alipaswa kujiuzulu basi mbona hakufanya hivyo, huyu mnafiq?Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesifu ushirikiano wa nchi za Afrika Mashariki na kusema tulikuwa tunachomeana kuku mipakani, dhambi tupu viumbe wa Mungu tunamwaga petrol kuwachoma haikuwa na maana.
Rais Samia amesema hayo katika kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda.
Chanzo: Swahili times
Ndio, siwezi kufanya kazi kinyume na utaratibu na sheria za kazi husika. Kinyume na hapo ni ubabaishajiungekua wewe ungejiuzuru?
Tuanzie hapo kwanza!
Magu alipokuwa anaua, anakataza vyama vya siasa visifanye mikutano na shuguli za kisiasa, anapora uchaguzi alikuwa anafata Sheria gani?Hapa jambo la msingi siyo wewe kuwa interested na sheria au la,jambo la msingi hapa ni kwamba taka usitake nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria.
Magu kuvunja katiba pamoja na sheria za nchi haihalalishi wala haitoi kibali kuwa nchi iongozwe bila kuzingatia katiba na sheria.Magu alipokuwa anaua, anakataza vyama vya siasa visifanye mikutano na shuguli za kisiasa, anapora uchaguzi alikuwa anafata Sheria gani?
Sasa kwanini unaona hayo sasa, lakin wakati huohuo huoni ya Magufuli aliyofanya?Magu kuvunja katiba pamoja na sheria za nchi haihalalishi wala haitoi kibali kuwa nchi iongozwe bila kuzingatia katiba na sheria.