Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,664
- 22,256
Nukuu hii inaonesha kisa cha kukamatwa na uamuzi uliopangwa kuhusu kesi. Unapokuwa na kesi ambayo Rais amehadithiwa na maamuzi ya kesi yaliyokwisha fikiwa! Hili ni tatizo kwenye utawala wa sheria.“Nataka nijibu lile ombi la mwanangu, iko hivi demokrasia ni kuheshimu sheria, unapoheshimu sheria ndipo demokrasia inapokua, lakini pia ndipo inapoleta heshima.
.
“Heshima ya mtu inakuja unapoheshimu sheria za nchi, unapovunja sheria za nchi heshima yako haitaheshimiwa, Serikali haitakuheshimu lakini lazima ujue kwamba unapotumia uhuru wako mwisho wa uhuru wako inaanza heshima ya mtu mwingine,” - Samia H. Suluhu