Sina uhakika kama umemsikiliza vizuri. Majibu yake yana ujumbe ambao unaonyesha wazi kabisa kwamba Mbowe ana hatia kwa sababu kavunja sheria na amekosa heshima. Mimi naona angejibu tu kwamba hilo la Mbowe tuiachie mahakama, basi.Hapana nina hakika hana maana hiyo kwa kuzingatia kuwa yeye ni muumini wa utawala wa sheria......nadhani watu ndio wamechagua kumuelewa hivyo......