Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Rais Samia Suluhu Hassan amesema janga la COVID19 limeathiri ukuaji wa uchumi wa Tanzania kutoka 7% hadi 4.7%. Huku akitaja sekta ya utalii, usafiri na usafirishaji kuwa sekta zilizoathirika zaidi
Aidha amesema sekta ya kilimo imeathiika kutokana nakupungua kwa uzalishaji wa mbolea duniani ambapo bei zake zilipanda na kuwapa shida wakulima. Lakini amesema kwa miaka inayokuja uchumi utaka kwa 5.6%
Hata hivyo amesema Tanzania imefuata yale yote ambayo Shirika la Afya limeelekeza na kutumia njia za asili kama kupiga nyungu na kujifukiza pia kujiunga na mpango wa chanjo
Aidha amesema sekta ya kilimo imeathiika kutokana nakupungua kwa uzalishaji wa mbolea duniani ambapo bei zake zilipanda na kuwapa shida wakulima. Lakini amesema kwa miaka inayokuja uchumi utaka kwa 5.6%
Hata hivyo amesema Tanzania imefuata yale yote ambayo Shirika la Afya limeelekeza na kutumia njia za asili kama kupiga nyungu na kujifukiza pia kujiunga na mpango wa chanjo