Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Mama Samia popote ulipo nakuomba uangalie tena Bandari Kuna Jambo halipo sawa huko.
Kuna C&F companies wameanza kulalamikia delays na hii ni kutokana na mfumo wa kisasa wa kufatilia mizigo na ulipwaji Kodi electronically kuharibika takribani wiki sasa na hivyo kurudi kwenye mfumo wa zamani.
Mfumo wa kisasa ni mzuri na unapaswa kuwe na back-up, kitendo cha kusema umeharibika inabidi utumike wa zamani kunaweza kuandamana na hujuma ili watu wafanye yao.
Tunajua wabongo tulivyo wajanja, hapo inaweza kuwa loop-hole na usishangae ukakaa hata miezi bila kurudishwa.
Mama Samia nakukubali sana, naamini Hilo pia haliwezi kukushinda.
#kazi iendelee#
Kuna C&F companies wameanza kulalamikia delays na hii ni kutokana na mfumo wa kisasa wa kufatilia mizigo na ulipwaji Kodi electronically kuharibika takribani wiki sasa na hivyo kurudi kwenye mfumo wa zamani.
Mfumo wa kisasa ni mzuri na unapaswa kuwe na back-up, kitendo cha kusema umeharibika inabidi utumike wa zamani kunaweza kuandamana na hujuma ili watu wafanye yao.
Tunajua wabongo tulivyo wajanja, hapo inaweza kuwa loop-hole na usishangae ukakaa hata miezi bila kurudishwa.
Mama Samia nakukubali sana, naamini Hilo pia haliwezi kukushinda.
#kazi iendelee#