The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,166
Purchasing power haipimwi kwa kutumia traditional method tuu bali kwa ku account factors zinginezo.Sasa purchasing power ya mwananchi wa Tanzania ni sawa na Marekani,yani kipato cha mtu unskilled labour kipo juu sana kuliko hata hapa bongo kwa upande wa skilled ..kwel kunasehemu tumekosea kama nchi.Magufuri lala salama baba..
Buku ya bongo inaweza nunua bidhaa ambazo pesa ya Marekani dola moja ikashindwa kwa hiyo msikariri.