The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,456
17,202
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kuwa bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.

Rais anasema juzi alikuwa Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.

Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.

Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kuwa watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.


 
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.

Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.

Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.

Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.


Ko anamaanisha kipato cha mmarekani na mtanzania ni sawa hivyo sisi tuna unafuu wa maisha kuliko wamarekani. 😎 hii ndo bongo nyoso.
 
Huyu mama huyu !!!! ??????

Nimeishi UK, kule kila kitu gharama nguo, viatu kodi ya pango n.k. , Ila kipato changu nilichokuwa napata kule kwa wiki kwa kazi hio huku hata kwa mwaka huenda nisingepata..., (yaani hapo naongelea unskilled labor bado sijaongelea professional jobs)

Hivi haya anayasema kama siasa, kukosa uelewa au anatudharau (insulting our intelligence)
 
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.

Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.

Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.

Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.


Hajui asemalo. Kila nchi ina gharama zake za maisha. Kima cha chini cha mshahara US ni zaidi ya Tshs 5,000,000 . Kwa tafisili hiyo siyo ajabu chapati kuuza 10,000 huko Marekani kwa sababu gharama za maisha zipo juu na kipato cha ndani kipo juu
 
Huyu mama huyu !!!! ??????

Nimeishi UK, kule kila kitu gharama nguo, viatu kodi ya pango n.k. , Ila kipato changu nilichokuwa napata kule kwa wiki kwa kazi hio huku hata kwa mwezi huenda nisingepata..., (yaani hapo naongelea unskilled labor bado sijaongelea professional jobs)

Hivi haya anayasema kama siasa, kukosa uelewa au anatudharau (insulting our intelligence)
Anatudharau tu
 
Back
Top Bottom