Rais Samia, baada ya madarasa kituo kinachofuata kiwe vifaa tiba vya msingi kama mashine za Ultrasound, Haematology, Analyserachine na X-ray

polokwane

JF-Expert Member
Dec 16, 2018
3,359
5,808
Kukosekana kwa vifaa hivi kwenye vituo vya afya vingi imekuwa changamoto kubwa kwa matibabu

Ushauri baada ya kufanya vizur kwenye madarasa sasa nguvu ihamishie huko pia kuna vituo vingi vikubwa vya afya vyenye hadhi ya kuwa na vipimo hivyo lakini havina hali inayo pelekea wangonjwa kusafiri 20 had 100km kutafuta huduma hiyo wakati hivyo ni vipimo ni vya msingi kabisa kuwepo kwenye vituo vya afya

Nashauri liingizwe kwenye mkakati na kuonheza wataalam wa kuvi operate ili kupunguza baadhi ya vifo

Swala vipimo hivyo nayo ni turufu kubwa sana kijamii lakini itazid kukupa heshima sila lazima vyote kwa mara moja lakini angalau vile vya msingi kabisa hasa vinavyo weza kusaidia hasa kina mama na watoto

Hii ya vituo vingi vya afya tena vikubwa kuwa wagawaji wa amoxylin na paracetamol tufike mahali tuoboreshe , wataalam wa kuongoza vifaa hivyo waajiliwe katika vitu vya afya vikubwa vyenye hadhi ya kuwa na vipimo hivyo
 
Kukosekana kwa vifaa hivi kwenye vituo vya afya vingi imekuwa changamoto kubwa kwa matibabu

Ushauri baada ya kufanya vizur kwenye madarasa sasa nguvu ihamishie huko pia kuna vituo vingi vikubwa vya afya vyenye hadhi ya kuwa na vipimo hivyo lakini havina hali inayo pelekea wangonjwa kusafiri 20 had 100km kutafuta huduma hiyo wakati hivyo ni vipimo ni vya msingi kabisa kuwepo kwenye vituo vya afya

Nashauri liingizwe kwenye mkakati na kuonheza wataalam wa kuvi operate ili kupunguza baadhi ya vifo

Swala vipimo hivyo nayo ni turufu kubwa sana kijamii lakini itazid kukupa heshima sila lazima vyote kwa mara moja lakini angalau vile vya msingi kabisa hasa vinavyo weza kusaidia hasa kina mama na watoto

Hii ya vituo vingi vya afya tena vikubwa kuwa wagawaji wa amoxylin na paracetamol tufike mahali tuoboreshe , wataalam wa kuongoza vifaa hivyo waajiliwe katika vitu vya afya vikubwa vyenye hadhi ya kuwa na vipimo hivyo
Bila kusahau kuongez wataalam wa magonjwa ya kina mama na watoto
 
Kukosekana kwa vifaa hivi kwenye vituo vya afya vingi imekuwa changamoto kubwa kwa matibabu

Ushauri baada ya kufanya vizur kwenye madarasa sasa nguvu ihamishie huko pia kuna vituo vingi vikubwa vya afya vyenye hadhi ya kuwa na vipimo hivyo lakini havina hali inayo pelekea wangonjwa kusafiri 20 had 100km kutafuta huduma hiyo wakati hivyo ni vipimo ni vya msingi kabisa kuwepo kwenye vituo vya afya

Nashauri liingizwe kwenye mkakati na kuonheza wataalam wa kuvi operate ili kupunguza baadhi ya vifo

Swala vipimo hivyo nayo ni turufu kubwa sana kijamii lakini itazid kukupa heshima sila lazima vyote kwa mara moja lakini angalau vile vya msingi kabisa hasa vinavyo weza kusaidia hasa kina mama na watoto

Hii ya vituo vingi vya afya tena vikubwa kuwa wagawaji wa amoxylin na paracetamol tufike mahali tuoboreshe , wataalam wa kuongoza vifaa hivyo waajiliwe katika vitu vya afya vikubwa vyenye hadhi ya kuwa na vipimo hivyo
Sehemu ya hiyo fedha pia itakabiliana na shida hiyo uliyoieleza,japo haitotosha lakini kwa kuanzia inafaa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kweli maana ukiumwa ukiingia hospital ya serikali unaweza hisi unalichungulia kaburi
 
Kukosekana kwa vifaa hivi kwenye vituo vya afya vingi imekuwa changamoto kubwa kwa matibabu

Ushauri baada ya kufanya vizur kwenye madarasa sasa nguvu ihamishie huko pia kuna vituo vingi vikubwa vya afya vyenye hadhi ya kuwa na vipimo hivyo lakini havina hali inayo pelekea wangonjwa kusafiri 20 had 100km kutafuta huduma hiyo wakati hivyo ni vipimo ni vya msingi kabisa kuwepo kwenye vituo vya afya

Nashauri liingizwe kwenye mkakati na kuonheza wataalam wa kuvi operate ili kupunguza baadhi ya vifo

Swala vipimo hivyo nayo ni turufu kubwa sana kijamii lakini itazid kukupa heshima sila lazima vyote kwa mara moja lakini angalau vile vya msingi kabisa hasa vinavyo weza kusaidia hasa kina mama na watoto

Hii ya vituo vingi vya afya tena vikubwa kuwa wagawaji wa amoxylin na paracetamol tufike mahali tuoboreshe , wataalam wa kuongoza vifaa hivyo waajiliwe katika vitu vya afya vikubwa vyenye hadhi ya kuwa na vipimo hivyo
Bajeti ijayo itakuwa tamu Sana.Hatua za chanjo zimelipa maana watalii wanakuja
 
Kweli maana unakuta kituo kinahudumia vijiji ving sana lakin mashine ya utrasound hakuna kipimo ambacho ni basic kwa matatizo ya kina mama ambao ndio wengi wenye matatizo
Tuombe TU Mungu liwepo kwenye vichwa vyao Kama kipaumbele
 
Back
Top Bottom