johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,768
- 141,632
Wewe mbwiga hata Dr Mahera alisema amepewa orodha ya akina Halima Mdee na Katibu mkuu wa Chadema J J Mnyika.Hii barua ya TFF ya kuahirisha mechi inasema kuwa wamepewa maelekezo kutoka wapi?Ninapokuambia kuwa wewe ni mpumbavu jua kuwa sikuonei!
View attachment 1779701
Hiyo barua umeiona?
Nyie ndio maana Ndugai anawaburuza kadri apendavyo!