Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,187
Hivi benz mpya ni sh. Ngapi
Kina mwinyi ahela walizoiba ikulu, marupurupy ya uraisi nk zimekwisha?
Kina mwinyi ahela walizoiba ikulu, marupurupy ya uraisi nk zimekwisha?
Hakika.Ukiwa mvumilivu,ukaruhusu furaha moyoni mwako,ukaficha na kuishinda hasira isikutawale utaishi miaka mingi sana duniani...zaidi ya yote tumche sana Mungu tujitahidi kutenda haki.
Mshahara Wa rais ni 9,000,000= tu Bwashee,na wazenji hawajui hata ufisadi.Mbaya zaidi mtoto wake ni Rais hivi ameshindwa kweli kumnunulia baba ake hilo Benz? Ukistaajabu ya Chato utayaona ya Zanzibar.
Unafahamu kwamba Rais anahudumiwa kila kitu? Huo mshahara wa mil9 hagusi hata Shilingi. Nyumba, umeme,maji, chakula,nguo,na vingine vyote bure. aafu useme mil.9 ndogo! We vipi bwana!Mshahara Wa rais ni 9,000,000= tu Bwashee,na wazenji hawajui hata ufisadi.
Kwa kweli zawadi ya gari haikufaa. Sijui waliwaza nini ?!. Mtu kama Mwinyi na uzee wote huo gari la nini ?! Kwanza kila wakati anabadilishiwa magari na serikaliKwanza kabisa nampa Hongera sana kwa Mungu kumpa Umri mrefu, hakika kwa umri wake wa miaka 96 ni upendeleo wa hali ya juu, lkn pia nampa hongera sana kwa kuzindua kitabu chake ambacho kimejaa Mikasa, Fitina, Majungu lkn pia na Uvumilivu.
Sisi wajukuu zako hatukufahamu kabisa juu ya Uongozi wako ulikuwaje/ulitawalaje, ulikumbana na changamoto gani,
lkn kupitia kitabu chako, nimesikiliza tu muhtasari ulio somwa na prof. Makandala hakika umenifanya nitafakari mambo mengi sana.
Kumbe tabasamu la mzee wetu Mwinyi lilificha maumivu mengi moyoni mwake, kumbe alipitia misuko suko migumu kiasi hicho dah! na bado akawa anatabasamu na kuendelea kuchapa kazi!!
Hakika mzee Mwinyi anastahili Tuzo ya Heshima kuliko gari.
swali moja nililo jiuliza, ambalo pia na watanzania wenzangu naomba mjiulize au mtafakari;
ni je, sisi kama watanzania tunajifunza nini?
viongozi mliopo madarakani ktk idara mbali mbali za serikali mnajifunza nini?
Je, nchi yetu bado ipo kwenye changamoto kama ilivyo kuwa ktk kipindi cha mzee Ruksa?
Mzee Ruksa nakupa Hongera na Pole, hakika ktk safari yako ya uongozi ulipitia matamu na machungu mengi.
Nitanunua kitabu ili nisome zaidi.
Hapa ndio naanza kuamini ule msemo mwenye nacho huongezewa ili awe na kingi zaidiNakushukuru sana Mzee wangu Rais Mstaafu Mwinyi kwa kunikaribisha kuzindua kitabu cha simulizi ya maisha yako, nampongeza Mzee Mwinyi kwa kuamua kuandika kitabu ambacho sio tu kitawasaidia Watanzania na Dunia kumfahamu pia kina historia ya Tanzania...
Hafla ya uzinduzi wa kitabu cha Mzee Mwinyi inaenda sambamba na kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa, tunamtakia kila la kheri wakati anatimiza miaka 96, tunamuomba Mungu akutunze ufike miaka 100 na zaidi ili tuzidi kuvuna hekima na busara zako...
Nimemuandalia zawadi Mzee Mwinyi, kwa kutimiza umri wa miaka 96 leo, nimekuwa nikiona usumbufu anaoupata akiwa anapanda na kushuka kwenye Gari lake, kwa niaba ya Serikali Mzee wetu leo tutampatia Benz la chini ambalo litampa raha kwenye Safari zake...Rais Samia
🤣🤣🤣🤣Aya sasa, mlisema oooh late Pombe anatumia fedha hovyo kwa kuwajengea majengo wastaafu, hii nayo je..?
Anaweza kuendesha? Kwa umri wake na vipi lile Prado lake analoendeshwaga nalo tunalionaga kwenye hafla tofautiHahhahah...tumuache Mzee atembee na Benz
Jk atapewa Ferrari, kwakuwa bado niYajayo yanafurahisha ...wastaafu wote wanapewa magari haya ngoja tusubr Bday ya JK sijui na yeye anapewa nini
Msisahau huyo ni raisi mstaafu aliyeitumikia nchi hii, kupewa gari kama zawadi na raisi aliyekuwepo madarakani kama zawadi yake ya birthday it's not a big deal.Magu aliwapa nyumba zenye thamani zaidi ya hyo benzi
Kweli ukiwa nacho unaongezewa
Ova