Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 10,390
- 32,047
Hizi bei bado ni kubwa Chief kwenye Ujenzi. Muhimu zipungueKama hiyo ndio bei basi bado hazijapanda ,saruji iko vile vile shida ni nondo na Bati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi bei bado ni kubwa Chief kwenye Ujenzi. Muhimu zipungueKama hiyo ndio bei basi bado hazijapanda ,saruji iko vile vile shida ni nondo na Bati.
Ndo ziko hivyo toka 2019Hizi bei bado ni kubwa Chief kwenye Ujenzi. Muhimu zipungue
Mkuu, na chadema mnajipangaje na 2025? Ccm ndo wameanza mapema hivyo!Hamna la maana hapo, ni siasa tu za kujipanga na uchaguzi wa 2025.
Sidhani, Mwaka jana nilinunua Cement 14,000 Saivi 17,000. Tiles nilinunua 18,000 mwaka huu bado imesimama kwenye 24,000. White Cement nilinunua shilingi 23,000 saivi 33,000.Ndo ziko hivyo toka 2019
Kipindi cha JPM hayakuwa maendeleo ya kweli ?Mama ameamua wajameni sasa ni mwendo mdundo, haya ndio maendeleo ya kwelii.
#UTAIFA MBELE
#TWENDE NA MAMA
Kwani wewe unaonaje Mkuu?Kipindi cha JPM hayakuwa maendeleo ya kweli ?
Kama nchi tumehama kutoka kwenye "mpango wa maendeleo kwenda kwenye "kampeni ya maendeleo"Mama ameamua wajameni sasa ni mwendo mdundo, haya ndio maendeleo ya kwelii.
#UTAIFA MBELE
#TWENDE NA MAMA
Nimekuuliza weweKwani wewe unaonaje Mkuu?
Na mimi nakuuliza wewe KiongoziNimekuuliza wewe
Jibu kwanza nilichokuulizaNa mimi nakuuliza wewe Kiongozi