Mwanaharakati niseme ivo labdaHivi mange alikua mwanachadema au mwanaharakati tuu?
Makubwa na kustajabishaDuniani Kuna Mambo
Hata sielewKwani Kamanda Sirro ana maoni gani?
Mbona hata yeye anasifa kama hizo tu 😀😀😀😀Safi sana mama yetu kuongoza Taifa ni kazi. Familia tu wengi tu zimewashinda. Pia Watanzania tungekuwa na roho kama huyu dada. Wanasiasa wasingetugeuza geuza na kutuwekewa kodi hadi za kupaka rangi kucha.
Nchi sijamuona mwanaharakati zaidi ya mashabiki wa vyama tu!Hivi mange alikua mwanachadema au mwanaharakati tuu?
Sijui nikomenti nini hapa. Anyway ngoja nipige kimya!Rais S. S. H na Mange Kimambi pichani.
Nimeona watu wametoa maelezo yenye hisia tofauti kufuatia Mange Kimambi kuonekana katika picha na Mhe. Rais huko nchini Marekani.
Acha uongo. Manage Kimambi hajawahi kuisema vibaya nchi ispokuwa jpm na udictator wake ndo alipingana nao. Acha kuongopea watu mange kimambi hajawahi na hatawahi kuisema vibaya tanzania kwanza ndo anaipigania sana mpaka akamfanya dictator alikuwa hatulii.Rais S. S. H na Mange Kimambi pichani.
Nimeona watu wametoa maelezo yenye hisia tofauti kufuatia Mange Kimambi kuonekana katika picha na Mhe. Rais huko nchini Marekani.
Mange alikuwa mwana CCM akakengeuka tu !Hivi mange alikua mwanachadema au mwanaharakati tuu?
Mange alikuwa mwana CCM akakengeuka tu !
View attachment 1946363