Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,842
- 4,777
Siredi bila picha
Ni kama kunyoa ndevu bila kioo
Ni kama kunyoa ndevu bila kioo
Ujinga!Kuna time namkubali kagame maana wale wanaoichafua Rwanda anatuma mtu wake na anakwenda kumleta au kummaliza huko huko alipo.
Sasa hiki kidubwasha sijui kinani leo kuna watu wanakishika masikio wkt kimechafua sana watu.
Kuichafua au kuikosoa ikikosea,je serikali yake ni ya mbinguni na haikosei?ugonjwa wa Africa huuuKuna time namkubali kagame maana wale wanaoichafua Rwanda anatuma mtu wake na anakwenda kumleta au kummaliza huko huko alipo.
Sasa hiki kidubwasha sijui kinani leo kuna watu wanakishika masikio wkt kimechafua sana watu.
MangeKimambi ndio kiboko ya mijitu mibwege, hasa lile lililokuwa na bichwa la samakiMama najua ni mwenye haki huruma na upendo hana shida na yoyote yeye ni rais wa kila mtanzania.
Lakini mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan asingekutana kabisa na Mange Kimambi. Angekataa kabisa.
Mange ameumiza sana mioyo ya wanawake tena marafiki wa mama.
Kamdhalilisha mama Rita Mlaki yani bila sababu kwa kumtukana mama wa watu matusi ya nguoni.
Kawadhalilisha pia Hoyce Temu (Mteule wa mama) na familia yake. Kamdhalilisha na kumtukana matusi dada Angela Kairuki.
Licha ya wanawake kamtukana head of state rais ndugu john pombe Magufuli.
Kwa maoni yangu mama hakustahili kabisa kuonana na kusalimiana na Mange Kimambi.
Eti mange...Inasikitisha sana rais kukuta na muhuni yule anqyetumia muda wake mwingi kuitusi serkali
Watu lzm wafikiri tofauti nyuma ya pazia
Hakuna rafiki wakudumu wala adui wa kudumu! Kama wewe mange ni adui wako wapo wanaomuona mange ni rafiki na mkombozi...Mama najua ni mwenye haki huruma na upendo hana shida na yoyote yeye ni rais wa kila mtanzania.
Lakini mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan asingekutana kabisa na Mange Kimambi. Angekataa kabisa.
Mange ameumiza sana mioyo ya wanawake tena marafiki wa mama.
Kamdhalilisha mama Rita Mlaki yani bila sababu kwa kumtukana mama wa watu matusi ya nguoni.
Kawadhalilisha pia Hoyce Temu (Mteule wa mama) na familia yake. Kamdhalilisha na kumtukana matusi dada Angela Kairuki.
Licha ya wanawake kamtukana head of state rais ndugu john pombe Magufuli.
Kwa maoni yangu mama hakustahili kabisa kuonana na kusalimiana na Mange Kimambi.
Wale polisi waliosema wanamsaka Mange popote alipo kwa udi na uvumba akiwa hai au amekufa si ndiyo hapo walitakiwa kumkamata na kumrudisha Tz kushitakiwa maana alijipeleka akiwa hai palepale walipo wao!? 🤣Mama najua ni mwenye haki huruma na upendo hana shida na yoyote yeye ni rais wa kila mtanzania.
Lakini mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan asingekutana kabisa na Mange Kimambi. Angekataa kabisa.
Mange ameumiza sana mioyo ya wanawake tena marafiki wa mama.
Kamdhalilisha mama Rita Mlaki yani bila sababu kwa kumtukana mama wa watu matusi ya nguoni.
Kawadhalilisha pia Hoyce Temu (Mteule wa mama) na familia yake. Kamdhalilisha na kumtukana matusi dada Angela Kairuki.
Licha ya wanawake kamtukana head of state rais ndugu john pombe Magufuli.
Kwa maoni yangu mama hakustahili kabisa kuonana na kusalimiana na Mange Kimambi.
Hamia RwandaKuna time namkubali kagame maana wale wanaoichafua Rwanda anatuma mtu wake na anakwenda kumleta au kummaliza huko huko alipo.
Sasa hiki kidubwasha sijui kinani leo kuna watu wanakishika masikio wkt kimechafua sana watu.
Zama za visasai zilizikwa Chato,mda wa kufukua makaburi umepita tunaganga yajayo ndio maana ya jina Suluhu..Mama najua ni mwenye haki huruma na upendo hana shida na yoyote yeye ni rais wa kila mtanzania.
Lakini mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan asingekutana kabisa na Mange Kimambi. Angekataa kabisa.
Mange ameumiza sana mioyo ya wanawake tena marafiki wa mama.
Kamdhalilisha mama Rita Mlaki yani bila sababu kwa kumtukana mama wa watu matusi ya nguoni.
Kawadhalilisha pia Hoyce Temu (Mteule wa mama) na familia yake. Kamdhalilisha na kumtukana matusi dada Angela Kairuki.
Licha ya wanawake kamtukana head of state rais ndugu john pombe Magufuli.
Kwa maoni yangu mama hakustahili kabisa kuonana na kusalimiana na Mange Kimambi.
Hao Diaspora unaowaita makahaba wana maisha mazuri mara mia ukijilinganisha na wewe.
Mange ndio yupi hapo kwenye picha?Masikini mwee.....kapokelewa na Mange Kimambi....!!!? Balozi hakuna huko mpk anapokelewa na machinga Mange Kimambi??
Hananga kapuuzwa sana
Soma uelewe,sijaandika kuichafua nchi, hivi akili huwa zinajaaga funza?.Kuichafua au kuikosoa ikikosea,je serikali yake ni ya mbinguni na haikosei?ugonjwa wa Africa huuu
🤣🤣🤣Mange alikua anaandamana ama alipanga kukutana?
Naona wote waliokua wanampinga na kumtukana Magufuli sasa wanajipendekeza kwa mama wapate kuteuliwa, tusubiri tuone.
Hivi polisi wa New York wanaruhusiwa kumsogelea rais wetu kiasi hicho na Bunduki nje nje?
Aliyekuja na bango la kijani halafu likachukuliwa halafu akawa karibu kabisa na rais kwenye video. Rais anasikikia akishukuru kumuona mangeMange ndio yupi hapo kwenye picha?