Rais Samia awasili Marekani leo Sept 19, 2021 kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN)

Kuna time namkubali kagame maana wale wanaoichafua Rwanda anatuma mtu wake na anakwenda kumleta au kummaliza huko huko alipo.

Sasa hiki kidubwasha sijui kinani leo kuna watu wanakishika masikio wkt kimechafua sana watu.
Ujinga!
 
Jamani acheni kufundisha watu roho mbaya,dunia ingekuwa hivyo mnachotaka ninyi Wala pasingekalika,Kuna watu wameumizwa Sana lakini yalipita tu,mnataka tufundishane kurithi maadui?mi mtu ambaye hajanikosea Mimi hawezi kuwa adui yangu,adui wa Kaka yangu ni adui wake yeye na si Mimi,ya nini kufundishana chuki zisizo na msingi?wazungu wenyewe mametesa na kuua mababu zetu,lakini leo ndo mabosi wetu,rafiki zetu na mashemeji zetu tumeoleana,hebu acheni upuuzi wenu na fanyeni kazi,watu mnasahau Hadi maandiko yanasemaje kuhusu msahama,? Kizazi Cha ajabu hiki,haya yooote mnayoyaona hapa Duniani ni Mambo ya kupita hatuondoki na chochote hapa,pesa,nyumba,magari,yoote ni matakataka ya dunia,huezi nielewa kwanini nimeita matakataka mpaka siku uyaache ndo utanielewa,hebu tuishi jamani,tuishe tufurahie siku zetu chache tulizopewa hapa Duniani na MUNGU,chuki hukaa kwenye vifua vya wapumbavu
 
Kuna time namkubali kagame maana wale wanaoichafua Rwanda anatuma mtu wake na anakwenda kumleta au kummaliza huko huko alipo.

Sasa hiki kidubwasha sijui kinani leo kuna watu wanakishika masikio wkt kimechafua sana watu.
Kuichafua au kuikosoa ikikosea,je serikali yake ni ya mbinguni na haikosei?ugonjwa wa Africa huuu
 
Mama najua ni mwenye haki huruma na upendo hana shida na yoyote yeye ni rais wa kila mtanzania.

Lakini mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan asingekutana kabisa na Mange Kimambi. Angekataa kabisa.

Mange ameumiza sana mioyo ya wanawake tena marafiki wa mama.

Kamdhalilisha mama Rita Mlaki yani bila sababu kwa kumtukana mama wa watu matusi ya nguoni.

Kawadhalilisha pia Hoyce Temu (Mteule wa mama) na familia yake. Kamdhalilisha na kumtukana matusi dada Angela Kairuki.

Licha ya wanawake kamtukana head of state rais ndugu john pombe Magufuli.

Kwa maoni yangu mama hakustahili kabisa kuonana na kusalimiana na Mange Kimambi.
MangeKimambi ndio kiboko ya mijitu mibwege, hasa lile lililokuwa na bichwa la samaki
 
Tusirithi maadui - by JK.

Mange alijipendekeza mwenyewe kama raia wengine wala hakuwepo kwenye ratiba, Mama naye akaonyesha uungwana..
 
Mama najua ni mwenye haki huruma na upendo hana shida na yoyote yeye ni rais wa kila mtanzania.

Lakini mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan asingekutana kabisa na Mange Kimambi. Angekataa kabisa.

Mange ameumiza sana mioyo ya wanawake tena marafiki wa mama.

Kamdhalilisha mama Rita Mlaki yani bila sababu kwa kumtukana mama wa watu matusi ya nguoni.

Kawadhalilisha pia Hoyce Temu (Mteule wa mama) na familia yake. Kamdhalilisha na kumtukana matusi dada Angela Kairuki.

Licha ya wanawake kamtukana head of state rais ndugu john pombe Magufuli.

Kwa maoni yangu mama hakustahili kabisa kuonana na kusalimiana na Mange Kimambi.
Hakuna rafiki wakudumu wala adui wa kudumu! Kama wewe mange ni adui wako wapo wanaomuona mange ni rafiki na mkombozi...
 
Mama najua ni mwenye haki huruma na upendo hana shida na yoyote yeye ni rais wa kila mtanzania.

Lakini mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan asingekutana kabisa na Mange Kimambi. Angekataa kabisa.

Mange ameumiza sana mioyo ya wanawake tena marafiki wa mama.

Kamdhalilisha mama Rita Mlaki yani bila sababu kwa kumtukana mama wa watu matusi ya nguoni.

Kawadhalilisha pia Hoyce Temu (Mteule wa mama) na familia yake. Kamdhalilisha na kumtukana matusi dada Angela Kairuki.

Licha ya wanawake kamtukana head of state rais ndugu john pombe Magufuli.

Kwa maoni yangu mama hakustahili kabisa kuonana na kusalimiana na Mange Kimambi.
Wale polisi waliosema wanamsaka Mange popote alipo kwa udi na uvumba akiwa hai au amekufa si ndiyo hapo walitakiwa kumkamata na kumrudisha Tz kushitakiwa maana alijipeleka akiwa hai palepale walipo wao!? 🤣
 
Kuna time namkubali kagame maana wale wanaoichafua Rwanda anatuma mtu wake na anakwenda kumleta au kummaliza huko huko alipo.

Sasa hiki kidubwasha sijui kinani leo kuna watu wanakishika masikio wkt kimechafua sana watu.
Hamia Rwanda
 
Mama najua ni mwenye haki huruma na upendo hana shida na yoyote yeye ni rais wa kila mtanzania.

Lakini mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan asingekutana kabisa na Mange Kimambi. Angekataa kabisa.

Mange ameumiza sana mioyo ya wanawake tena marafiki wa mama.

Kamdhalilisha mama Rita Mlaki yani bila sababu kwa kumtukana mama wa watu matusi ya nguoni.

Kawadhalilisha pia Hoyce Temu (Mteule wa mama) na familia yake. Kamdhalilisha na kumtukana matusi dada Angela Kairuki.

Licha ya wanawake kamtukana head of state rais ndugu john pombe Magufuli.

Kwa maoni yangu mama hakustahili kabisa kuonana na kusalimiana na Mange Kimambi.
Zama za visasai zilizikwa Chato,mda wa kufukua makaburi umepita tunaganga yajayo ndio maana ya jina Suluhu..
 
Masikini mwee.....kapokelewa na Mange Kimambi....!!!? Balozi hakuna huko mpk anapokelewa na machinga Mange Kimambi??

Hananga kapuuzwa sana
Mange ndio yupi hapo kwenye picha?
 
Mange alikua anaandamana ama alipanga kukutana?

Naona wote waliokua wanampinga na kumtukana Magufuli sasa wanajipendekeza kwa mama wapate kuteuliwa, tusubiri tuone.

Hivi polisi wa New York wanaruhusiwa kumsogelea rais wetu kiasi hicho na Bunduki nje nje?
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom