Kwavile alisemea bungeni ushahidi uko kwenye Hansard hakuna haja ya kubishana!Nape hakusema huo mradi usimame!
Alitaka garama zake ziwekwe wazi!
Machadema ndio yakawa yanasema miradi isimame maana haina faida
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Aliyosema ichinguzwe ni mikopo aliyokopa Magufuli!!