Kijiba kikikukaba kooni...kukiacha ni kujiongezea stress. Muacheni watu watoe " nyongo" zao ili wapone."Talk Less Do More"
Unaumwa ugonjwa wa akili?Wakati huo sisi wazalendo wa kweli tukiwa tumestaafu harakati
Sawa! we una IQ ndogoUnaumwa ugonjwa wa akili?
Wakati watakapo anza kuitaka Sisi tutakuwa tumeshaachana nayo.Tulisema siku nyie chawa ndo mtadai katiba mpya
Tulipowambia Katiba Mpya mkasema ni ya Mbowe🤣🤣🤣Kwa nini hatilii mkazo miradi mkakati kama JNHP ambao ni mradi utaosaidia kuondoa dhahama na matatizo kwa watanzania wa kila namna?
Mradi wa Sgr anauchungulia kama vile ni mradi usio na tija kabisa. Yupo busy na kusafiri na kucheza filamu kama Royal tour ambazo hazina tija kwa taifa wala mwananchi wa kawaida.
Kuna upungufu mkubwa wa huduma za afya maji na na elimu na sisi kama taifa bado tupo nyuma sana. Kwa nini mkuu wa nchi hajatilia mkazo juu ya hii kero zaidi ya Royal tour isiyo na tija kabisa?
Gaidi je