Jamal Akbar
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 413
- 471
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan kupitia ukurasa wake rasmi wa mtandao wa Twitter ametuma salamu za pongezi kwa Wakenya katika uchaguzi Mkuuu uliomalizika kwa William Ruto kushinda nafasi ya Urais.
Katika ujumbe wake Rais Samia amewapongeza Wakenya kwa kufanya uchaguzi kwa amani na ameeleza matazamio yake ya nchi za Kenya na Tanzania kuendelea kufanya kazi kwa ukaribu
Katika ujumbe wake Rais Samia amewapongeza Wakenya kwa kufanya uchaguzi kwa amani na ameeleza matazamio yake ya nchi za Kenya na Tanzania kuendelea kufanya kazi kwa ukaribu