Rais Samia awapa shavu Wazanzibar: Ajira asilimia 21 za Muungano kuwa za Wazanzibar

Kwani huo utaratibu uliandaliwa na Raisi samia, au na maRaisi wakutoka Tanganyika? sasa huyu mama kutekeleza huo utaratibu ana kosa gani? Acheni Raisi afanye kazi, nyie Matanganyika mnajipendekeza kwenye muungano usio kua na manifaa kwenu.

huu utaratibu aliupanga samia
kikao kilifanyia tarehe 23/08/2021

 
Neno MUUNGANO ni zuri pia inaleta umoja.
Tatizo hizi katiba 3
1.Katiba ya Muungano
2.Katiba ya Zanzibar
3.Katiba ya Tanganyika

Zote zinafanya kazi kutegemea tukio.
Mfano.
Rais wa JMT akiwa Zanzibar hana nguvu wala kukagua miradi ila anapigiwa kura.
Waziri mkuu wa JMT anawajibika kwa Katiba ya Tanganyika.
Makamu wa Rais naye hana nguvu zanz.

Kero za Muungano huwa haziishi
 
View attachment 2015004

Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira

Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira

Hongera mama, Charity begins at home.

Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?

Hebu tazama

1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni

2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI

3. Mzanzibar anaweza kushika nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa shehia kule Zanzibar

4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar

5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ

Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli?
Kwahiyo hao watz mil 58 wote hawana ajira wanasubiri ajira za mama?
 
Hii nchi n ngumu sana, muungano unatudhoofisha sana watu wa bara, haiingii akilin kugawa nafas za ajira pasipo kuzingatia idad ya watu, ata wangewapa wazanzibar 1% bdo kwenye ratio wao ndo wangekuwa wamenufaika Zaid, sasa hizo 21% n nyingi mno, muungano gani ambao unabeba upande mmoja, kule zenji zikitoka ajira ata za kufagia maofisini lazima wawe wazenji, nonsense!!!
 
huu utaratibu aliupanga samia
kikao kilifanyia tarehe 23/08/2021

1. Zanzibar wanataka bahari kuu yao.
2. Mafuta wameshayatoa kwenye muungano

Ila sasa Ardhi ya Tanganyika Wazanzibar wanataka wamiliki kama vile Watanganyika wanavyomiliki, ila Mtanganyika kumiliki ardhi kule anachukuliwa kama mgeni

Ajira zisizo za nambo ya muungano huku Tanganyika Wazanzibar nao wanaapply na kupata kama Mtanganyika mwingine yeyote.

Sasa huo muungano una faida gani kwa Tanganyika?
 
Tunahitaji referendum ya huu Muungano. Wazanzibar wametushika pabaya. We don't gain anything from them ila wao wana keep on kudai tu kudai tu every single day.
Yaani wanataka chao kiwe chao na chetu chao
 
huu sasa ni upuuzi
Shida ni tafsiri'enterpretation" Rais ni WA Jamhuri ya muungano,pia Makamo na Waziri Mkuu .sasa je Kuna Waziri wa serikali ya Jamhuri ya Tanzania bara,dhahiri hapana.nataka kuamini kuwa makubaliano yalilenga watumishi wa wizara na Taasisi zote zilizo chini ya serikali ya Tanzania. Tanzania.Jamhuri ya muungano ya Tanzania,na siyo wizara za muungano ,na ndiyo maana utakuta Mzanzibari ameajiriwa bara kama_afisa utumishi,kilimo,mifugo,nurse,tabibu nk.
.Yaani ukijkulisha wote upate 21%
,NA
 
Tatizo bara na Znz zinaongozwa na wazanzibar so wameamua kujipendelea vilivyo...
Hiinitakua ni kisasi na rais ajaye atalipa
Ngoja tuone
 
Sasa kama hamutaki wazanzibar wapewe hizo nafasi bora tugawane mbao mutuachie zanzibar yetu mubaki na Tanganyika yenu sio museme mutaulinda mungano mpaka toni la mwisho la damu tena kwa mtutu wa bunduki
 
View attachment 2015004

Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira

Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira

Hongera mama, Charity begins at home.

Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?

Hebu tazama

1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni

2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI

3. Mzanzibar anaweza kushika nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa shehia kule Zanzibar

4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar

5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ

Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli?
alafu kuna lijizanzibar laja kulalama hapa, kwamba tunawanyonya. Kazi kupakuana tuu, hawajui lingine
 
Sasa kama hamutaki wazanzibar wapewe hizo nafasi bora tugawane mbao mutuachie zanzibar yetu mubaki na Tanganyika yenu sio museme mutaulinda mungano mpaka toni la mwisho la damu tena kwa mtutu wa bunduki
Kwa kweli kama mambo yako hivi bora tugawane mbao kiroho safi.

Tanganyika hatuwezi kukubali kuendelea kuwa babu jinga.

Everything wanacholilia Wazanzibar wanapata
1. Ardhi ya Zanzibar yao peke yao
2. Nafasi ndani ya SMZ zao peke yao
3. Wana majeshi wanayaita vikosi vya SMZ
4. Wana bunge lao/baraza la wawakilishi
5. Wana rais wao
6. Wana bendera yao
7. Mafuta yao yao peke yao

HALAFU tukitoka hapo
1. Huku bara wazenji wanamiliki ardhi
2. Wana haki sawa kwenye ajira zote za Mambo yasiyo ya muungano

Sasa huu muungano gani kwa Tanganyika kugeuzwa kubwa bwege?, Chake ni cha wote ila cha mzanzibar ni cha mzanzibar pekee?

Bora tugawane mbao kwa amani, kiroho safi
 
1. Zanzibar wanataka bahari kuu yao.
2. Mafuta wameshayatoa kwenye muungano

Ila sasa Ardhi ya Tanganyika Wazanzibar wanataka wamiliki kama vile Watanganyika wanavyomiliki, ila Mtanganyika kumiliki ardhi kule anachukuliwa kama mgeni

Ajira zisizo za nambo ya muungano huku Tanganyika Wazanzibar nao wanaapply na kupata kama Mtanganyika mwingine yeyote.

Sasa huo muungano una faida gani kwa Tanganyika?

hakuna cha ku apply wala nini maushungi kamteua mzanzibar kuwa disi Iringa mjini

huu muungano na tuulizwe wananchi kama tuna utaka kama waingereza walivyofanya kwenye EU
 
Haya ndiyo yatavunja muungano maana akija mwingine akasema ajira ziwe 5% wazanzibari hawatakubali.
Hata huu mgao baseless unaweza kuwaamsha watanganyika.
 
View attachment 2015004

Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira

Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira

Hongera mama, Charity begins at home.

Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la?

Hebu tazama

1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) ila wewe Mtanganyika unaweza kupata ardhi kwa masharti ya wageni

2. Mzanzibar anahaki na Ajira zote za mambo hata yasiyo ya muungano kwa mfano TAMISEMI

3. Mzanzibar anaweza kushika nafasi yoyote ya uongozi huku Tanganyika hata kwa mambo yasiyo ya muungano kwa mfano balozi wa nyumba kumikumi lakini Mtanganyika hawezi kuwa shehia kule Zanzibar

4. Ajira zote za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ni exclusive kwa ajili ya Wazanzibar, Yaani Wao wanakula kotekote Tanganyika na kule Zanzibar

5. Wao wamepambana kuondoa mafuta kwenye mambo ya muungano, lakini sisi Ardhi yetu wanaitaka, na wanaienjoy sana tu kwa sababu nawajua Wazanzibar wanaomiliki ardhi TZ

Sasa katika hali kama hii, Huu muungano una faida kwa Watanganyika kweli?
Hawa yanaandikwa leo kwa sababu Mama ni mwenyeji wa kizimkazi Unguja, angekuwa ni wa Mtwara au Lindi yasingeandikwa.
 
Back
Top Bottom