beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewataka Wakuu wa Wilaya, Wabunge na Serikali za Mitaa kutoa ushirikiano mzuri kwa Wananchi badala ya kufanya ubabe Migodini.
Amesema, "Wabunge ambao maeneo yenu miradi hii ipo, iwasaidie kujenga Maendeleo na nchi sio iwajenge ninyi binafsi. Kuna ile kwenda na kutisha kwenye migodi. Tutafuatilia, faida irudi kwa Wananchi"
Ameeleza, "Suala la kurejesha fadhila kwa Wananchi nalo sio suala la hiari kwasababu mali ile imeumbwa pale walipo. Ni mali yao, ni mali ya Serikali. Kama tunaenda kuichukua, lazima turudishe faida kwao, sio twende kuchota tuwaache walivyo"
Amesema, "Wabunge ambao maeneo yenu miradi hii ipo, iwasaidie kujenga Maendeleo na nchi sio iwajenge ninyi binafsi. Kuna ile kwenda na kutisha kwenye migodi. Tutafuatilia, faida irudi kwa Wananchi"
Ameeleza, "Suala la kurejesha fadhila kwa Wananchi nalo sio suala la hiari kwasababu mali ile imeumbwa pale walipo. Ni mali yao, ni mali ya Serikali. Kama tunaenda kuichukua, lazima turudishe faida kwao, sio twende kuchota tuwaache walivyo"