kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 13,344
- 14,815
Swahiba salama!Sasa ulitaka apande punda au ungo
Ila jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swahiba salama!Sasa ulitaka apande punda au ungo
Ila jamani
Wacha makasiriko!Mshauri awe anawaapisha kwenye ndege angani.
Mawazir wamepoaaa lukuvi, majariwa, jafo wametulia kama hawa nchiiiserikali imepoaaa san ka mchuzi wa nn et
😂😂😂😂Wacha makasiriko!
Salama kabisa SwahibaSwahiba salama!
Amejisaau hajui ana fanya nin na yupo ikulu Kwa ajiri ganiBarakoa ya nn tena? Si ameshachoma chanjo ya J&J
Mama ana nyota mwewe.Akimaliza hapo akapande ndege.
wanajua kucheza kws stepMawazir wamepoaaa lukuvi, majariwa, jafo wametulia kama haw
Hata wewe hapa umetoa lawana kwahiyo huna tofauti na hao uliowasema.Kuna watu wao ni lawama tu.
Unajua Kuna mwanamke hata ukampa kila kitu na ukamtawaza akitoka haja atalalamika vidole ni vigumu.
mbuga gani? Mbuga ya matozo na makodi Labda!! Tulihitaji mchanja mbuga?? Kikubwa nachokiona nikujua kubalansisha dini kwenye uteuzi na wazenji kuibuliwa...Hamna hoja nyinyi.
Madam President anachanja mbuga tu
Sisi Watanzania tulio wengi. Tuliokipigia chama cha Mapinduzi kura nyingi sana na kukifanikishia ushindi wa kishindo.Wewe na nani yanawaendea
Muflis wa hoja. HahahaahahahHuyu mama anaipeleka nchi kuwa chini ya sheria za kiislamu. Ni muda tu utaongea!
HahahahahaahahahahWala sijawahi kulitumia hilo neno
Potelea nyanda za juu kaskazini.Ni kweli anaelekea ngorongoro Crater.
Viongozi wetu hawababaishwi na wapiga domo. Wameandaliwa kukabiliana na hayo.useless and clueless jumong
Subiri basi tukupe wewe uongoziNdio kazi anayoweza zaidi,kufuatilia mambo ya msingi hamna kitu,hapa tulipigwa
Huku walitaka kupinga uteuzi wa PM hivi juziNimesikia kutoka Uganda Jana kuwa rais M7 kateua majaji wa mahakama kuu. Lakini hiyo haitoshi maana inabidi majina yao yapelekwe bungeni ili yaidhinishwe kama kweli wanafaa kulitumika taifa au kumtumikia aliyewateua, na huenda palikuwa na vetting kabla ya huo uteuzi.
Huko ni Uganda ambako tuliaminishwa miaka yote kwamba siasa zao sio nzuri na wana udikteta!
Message was simple and clear. Kama vipi hamieni Burundi huko!mbuga gani? Mbuga ya matozo na makodi Labda!! Tulihitaji mchanja mbuga?? Kikubwa nachokiona nikujua kubalansisha dini kwenye uteuzi na wazenji kuibuliwa...
akiondolewa jukumu la uteuzi sijui tutamwona akifanya nini?