Nimejikuta nacheka tu, mshusha thread mwandiko wako, jazba na kurudia rudia kutaja jina lako vinashabihia na IDs nyingine mbili tatu hivi.

Umechangamsha genge somehow, hayo ya Bashite tuwe na subra muda utatupa majibu kwani yanayoendelea behind the curtain kwa tulio nje ya system hatuyafahamu.
Nadhani SASHA anakwenda sawia, one step at time huku akizingatia taratibu za kisheria si kama phase ya mwendazake ya kidnappings, detentions na eliminations.
Ditram Nchimbi wa Yanga SC ( Tanzania ) akijifananisha na mpaka akimuiga kila Kitu ( hasa Kiuchezaji ) Mshambuliaji Robert Lewandoski wa Bayern Munich ( Germany ) ni tatizo Kwako au kuna tatizo? Acha Kukariri na kuwa na Kiherehere!!
 
Kwangu Mimi kutokana na Tuhuma zao ( hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao ) namfananisha Ole Sabaya na Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.

Utoaje AMRI ya Kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuogopa au ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa.

Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.
mmmh
 
Kwangu Mimi kutokana na Tuhuma zao ( hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao ) namfananisha Ole Sabaya na Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.

Utoaje AMRI ya Kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuogopa au ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa.

Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.
makonda kafanyaje, hebu to madhambi yake hata ma 2 tu ya kushtakiwa
 
Hoja hapa ilikuwa Rais awachukulie hatua wengine kama alivyomchukulia Sabaya ya kuwasimamisha kazi wote kwa pamoja na ndipo likatajwa jina la Makonda!! Hapo ndipo tukabainisha kuwa Makonda hayupo tena serikalini hivyo sio rahisi kumchukulia hatua ya kumsimamisha!!

Suala la kuhojiwa kwa matendo yake alipokuwa RC na kama alivunja sheria hilo liko chini ya taasisi husika na sioa kazi ya rais kuwaambia nini cha kufanya kwani sheria ndio inayochukua mkondo wake!
achululie hatua mafisadi na wauza unga sio huu upuuzi
 
Sikutegemea kama unayejiita Great Thinker ungeuliza Swali la Kipumbavu sana hili.

Yaani hujui kuwa kutokana na Tuhuma zako unaweza Kuchunguzwa ukiwa under House arrest au ukiwa ndani Polisi?

Wakati Akili zinagawiwa kwa Watu ( akina Krav Maga ) na Mwenyezi Mungu Mwenzetu ulikuwa wapi labda? Nimekudharau kuliko...!
Kakae na mavi yako nyumbani-Shujaa.
 
Mother Theresa hawezi kumchunguza makonda kwa tuhuma zake, maan ni kipenzi chake tangu akiwa bunge la katiba.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Upendo wao ulimalizika rasmi mwaka 2018 pale ilipogundulika Kijana anamfitinisha Mama kwa Babaake ( sasa Hayati ) ili aonekane mbaya na Mama ang'olewe Umakamu awekwe Mtu wake ( wao )
 
makonda kafanyaje, hebu to madhambi yake hata ma 2 tu ya kushtakiwa
Alichomfanyia Yusuf Manji pale Nyumbani Kwake Sea View na Kuchukua Kimabavu kilichokuwa ndani ya Safe na Kuondoka nacho mazima ni sehemu tosha ya moja ya Tuhuma zake bila kusahau na waliokuwa Wakiogelea Baharini ( Coco Beach na Kawe Beach ) kwa msaada wa Mawe mazito na Kamba ngumu bila ya Kupumua kama Navy.
 
Huko mnakotaka kuelekea siyo kwenyewe na taifa hili litabomoka. Mama aangalie sana.

Ili kutibu majeraha yote mama afuate ushauri wa Lissu. Aunde tume ya maridhiano, watu waombane misamaha, wasameheane, wenye kulipwa fidia walipwe halafu tusonge mbele. Haya mambo ya visasi hayataliacha salama taifa hili.
 
Sikutegemea kama unayejiita Great Thinker ungeuliza Swali la Kipumbavu sana hili.

Yaani hujui kuwa kutokana na Tuhuma zako unaweza Kuchunguzwa ukiwa under House arrest au ukiwa ndani Polisi?

Wakati Akili zinagawiwa kwa Watu ( akina Krav Maga ) na Mwenyezi Mungu Mwenzetu ulikuwa wapi labda? Nimekudharau kuliko...!
Sijui unazungumzia sheria za wapi, huwezi kuchunguzwa under house arrest not in our jurisdiction kwa sheria za Tz haipo hiyo, uchunguzi waweza fanyika under police custody....
 
Back
Top Bottom