MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
- Thread starter
- #21
Naona nimemgusa Baba Watoto wako.Kaa nyumbani kwako unywe gongo n mkeo kama unae; kwani hakuna mtu anakulazimisha kuja hapa jamvini wewe kenge!!
Naona nimemgusa Baba Watoto wako.Kaa nyumbani kwako unywe gongo n mkeo kama unae; kwani hakuna mtu anakulazimisha kuja hapa jamvini wewe kenge!!
Nasisitiza Rais Samia Suluhu Hassan aamuru upesi sana aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( Daud Albert Bashite ) nae akamatwe na achunguzwe kwa Tuhuma zake ambazo ni zaidi ya alizonazo DC Ole Sabaya. Acha Unafiki Hopeless mkubwa Wewe sawa?
Yeye na Sabaya hawatofautiani kabisa.Kwani anafanya kazi za kushindanisha tuhuma?
Naona nimemgusa Baba Watoto wako.
Mimi kama Krav Maga na najua Rais Samia atafanya tu kama nilivyomshauri hapa hata kama ni Kimya Kimya.Were kama nani kumuamuru Rais wetu afanye kama utakavyo? Sabaya na nyie ndugu zake mmevuna mlichopanda !! Ever heard of KARMA you fools?
Akikamatwa Mimi nitakuweka Mjini tu.WEWE na wote wa aina yako mtahangaika sana awamu hii!!
Mimi kama Krav Maga na najua Rais Samia atafanya tu kama nilivyomshauri hapa hata kama ni Kimya Kimya.
Akikamatwa Mimi nitakutunza tu sawa?Atafanya vile sheria inavyotaka afanye na sio kwa utashi wako wewe kenge na kundi lako!!
Ni raiaPaulo Makonda si RC wala DC....
Akikamatwa Mimi nitakutunza tu sawa?
Da nimecheka sana
Absolutely Rubbish.Kama alifanya makosa vyombo vya DOLA vimshuhulikie, mimi hilo sina tatizo nalo!! Sikubaliani na wewe pale unapolazimisha hatua zichukuliwe dhidi yake bila kufuata utaratibu kama alivyokuwa anafanya Jiwe!!
You cannot even pick a diamond from a heap of sand you S.O.B!Absolutely Rubbish.
Akikamatwa tu Mimi nitakutunza usijali.You cannot even pick a diamond from a heap of sand you S.O.B!