CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,984
- 4,083
- Thread starter
- #141
Salama mkuu,Habari njema sana hii.
Tuendelee kuipigania nchi yetu na Rais wetu,
KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Salama mkuu,Habari njema sana hii.
Hazina ndio mfuko wake,Ametoa kwenye mshahara wake au?!
Hazina si mfuko wa watanzania?!Hazina ndio mfuko wake,
Polepole mtaelewa tu
KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Jamaa amewafunika wengi sana,hakika amekuja kwa kishindo. Naona kuna idara pale ya JF.Mkuu punguza spidi basi,naona thread zako kibao zinashuka kumpa kongole chief Hangaya!
Naendelea kukuiliza kuna mipango ya kawaida katikati ya janga? Hueleweki na hujielewi hata unachouloliza.Acha ushabiki bajeti imetishwa mwezi wa 7 janga tayari Lina miaka 2
Umeongea vema,ila mleta mada nilimuuliza kitu akaingia mitini!Nimemuuliza kwasababu inaonekana huko jikoni kabisa,suala lenyewe ni juu ya changamoto 11 zilizotatuliwa na Samia,nimemuuliza Kama anazijua!Jamaa amewafunika wengi sana,hakika amekuja kwa kishindo. Naona kuna idara pale ya JF.
hawa akina kipara kipya,lizabon,johnbatist n.k hawafui dafu kwa huyu mwamba.
Bila shaka amepewa vitendea kazi sawia.
Ila kwa yote Mama Samia anakimbiza mwizi kimya kimya.
Huku mtaani mrejesho umeanza kupatikana.
Tumuombee mama yetu moyo wake pia uendelee kuwa wa nyama.
Soma ulichoandika alafu andika tena, aliyewatuma mje kusifia kila kitu hata upuuzi ametuma madebe matupu yanapiga kelele hakuna hojaNaendelea kukuiliza kuna mipango ya kawaida katikati ya janga? Hueleweki na hujielewi hata unachouloliza.
Millioni 50 to be preciseAcha utoto! Hii kauli ya ....NCHI NZIMA tulishaizoea na ina ukakasi. Mlitwambia kila kijiji kitapewa 15M mwishoni mkatuchinjia baharini. Hatuna imani na ahadi zenu tena mjue!!!
Tunasifia yaliyowashinda wenye mijusi kwenye suruali,mama huyooo kawa outshine..Soma ulichoandika alafu andika tena, aliyewatuma mje kusifia kila kitu hata upuuzi ametuma madebe matupu yanapiga kelele hakuna hoja
😆😆😆 Kwaiyo mmeanza kutukana mpaka wazee wenu ina maana hata shujaa wenu naye ni fala🤣🤣Tunasifia yaliyowashinda wenye mijusi kwenye suruali,mama huyooo kawa outshine..
Ni aibu awamu 5 zote zilizopita eti zilinunua MRI machine 2 tuu ,mama kwa mpigo ananunua 9.
Ni aibu watoto wa Shule kukaa chini na kuanza shule kwa mafungu kama nyanya,mama amefuta huo ujinga mwakani hakuna tena huo upuuzi.
14|10|2021Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.
" Hakuna kama Samaia "
Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,
IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.
Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
14|10|2021Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.
" Hakuna kama Samaia "
Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,
IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.
Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
14|10|2021Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.
" Hakuna kama Samaia "
Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,
IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.
Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Bravo14|10|2021
Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge
Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,
Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,
_________________
Kaziindelee kwa kasi & wekedi zaidi😍😍😍😍 Mkuu mimi nimejitoa kuonesha kuwa hata yule waliomdharau kumbe ni bora zaidi,
Wacha tuendelee tu kwani tusiposema sisi hata mawe yatasema hii kazi nzuri na kubwa ya Rais Samia,
#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
😍😍😍Bila Shaka,tuko na Mama ,madarasa 4 na madawati 120 kwa kila Shule ni jambo kubwa kabisa hili.
😍😍😍Kwahili la madarasa na madawati namuunga mkono.