kwakina itafakari
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 599
- 1,179
Ingawa matokeo ya leo yamenisikitisha sana, ila naona sawa tu tulivyorabuliwa na wakongo.
Maana kama tungeshinda,CHAWA wa term hii ya uongozi wasingechelewa kuja na thread kama ;
RAIS SAMIA ANAUPIGA MWINGI KATOA BILLIONS OF DOLLARS ZA TOZO ILI STARS WAFUZU KOMBE LA DUNIA
VOETSEK chawa!!
Maana kama tungeshinda,CHAWA wa term hii ya uongozi wasingechelewa kuja na thread kama ;
RAIS SAMIA ANAUPIGA MWINGI KATOA BILLIONS OF DOLLARS ZA TOZO ILI STARS WAFUZU KOMBE LA DUNIA
VOETSEK chawa!!