beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya Tanzania ingependa Umoja wa Mataifa uwasaidie ili waweze kujenga yanayotakiwa na wananchi ikiwemo Elimu, Afya, Maji, Umeme na Pembejeo za Kilimo
Ameeleza hayo Septemba 24, 2021 katika Mahojiano Maalum na Habari za UN huko New York Nchini Marekani alipohojiwa Anold Kayanda na kuulizwa kuhusu wito anaoweza kutoa kwa Umoja wa Mataifa
Rais Samia amesema, "Tukiweza kuyapatia yote hayo Uchumi utakua na Tanzania tutaweza kujenga jina letu"
Ameeleza hayo Septemba 24, 2021 katika Mahojiano Maalum na Habari za UN huko New York Nchini Marekani alipohojiwa Anold Kayanda na kuulizwa kuhusu wito anaoweza kutoa kwa Umoja wa Mataifa
Rais Samia amesema, "Tukiweza kuyapatia yote hayo Uchumi utakua na Tanzania tutaweza kujenga jina letu"