Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Nani aliondoa ulinzi? Nani anatuhumu ulinzi kuondolewa?..kwenye tukio lile Polisi / Jamhuri ndio wenye wajibu na mamlaka ya kutuhumu mahakamani.
..Polisi wanatakiwa wamkamate aliyeondoa ulinzi na wengine alioshirikiana nao kuwezesha tukio lile la ugaidi.
..Lissu ataitwa mahakamani kama mhanga wa tukio na shahidi wa serikali / jamhuri ktk shauri husika.