Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,489
- 13,608
Vijana wa mzee Kikwete mpo kazini Awamu hii.Ally Happy ni kiongozi was kisiasa katika nafasi ya R.C, lakini amekwisha kabisa kisiasa na huku saiti kila mtu anam-ng'ong'a, huu ni mzigo Mh. Rais, usikubali kuubeba...
Mnamfanya atazamwe vibaya na watu wasiopenda siasa za kipumbavu za makundi.