Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua.
Kesho anateua, keshokutwa anatengua!
Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??
NB: Hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Akizingua.....tutazinguana !!
Watu waje na mabango hata ya matusi ????
Haya nenda kwenu ukae na fikiria yule ulisema uliongea nae kwa simu wakati ashakufa alikwambia nn... !!!