Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,756
Hivi hawa huyo mwendazake, aliyesalimu amri kwa corona, alikuwa akiwaokota wapi?
Namtazama huyu afande anavyopokea amri, nabaki nashangaa tu na kujiuliza, hizo nguvu hao wahuni wanazitoa wapi?
Halafu kama vile nimezinduka uzingizini, nakumbuka ile kauli ya aliyewateua ya kuwataka vichaa kama yeye.
Alihakikisha kila mkoa unatawaliwa kwa namna ile ile alivyoitawala Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Halafu walinda usalama wetu mikoa yote ilibiwabidi kutii bila shurti maagizo ya hao hao vichaa!
Sote tunajua kwamba Baba wa Taifa, kama angekuwa bado yu hai, hangeweza kukaa kimya kwa hali iliyokuwa ikiendelea nchini kwa miaka mitano, je huyu kijana asiye na adabu angethubutu kumkanya achunge ulimi wake la sivyo atwangwe?
Namtazama huyu afande anavyopokea amri, nabaki nashangaa tu na kujiuliza, hizo nguvu hao wahuni wanazitoa wapi?
Halafu kama vile nimezinduka uzingizini, nakumbuka ile kauli ya aliyewateua ya kuwataka vichaa kama yeye.
Alihakikisha kila mkoa unatawaliwa kwa namna ile ile alivyoitawala Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Halafu walinda usalama wetu mikoa yote ilibiwabidi kutii bila shurti maagizo ya hao hao vichaa!
Sote tunajua kwamba Baba wa Taifa, kama angekuwa bado yu hai, hangeweza kukaa kimya kwa hali iliyokuwa ikiendelea nchini kwa miaka mitano, je huyu kijana asiye na adabu angethubutu kumkanya achunge ulimi wake la sivyo atwangwe?