Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
Seriously??umeona video yake ya juzi anasema mabango ruhusa kwenda kumpokea Rais hata kama yameandikwa matusi? na video yake akihimiza kuua vibaka
Seriously??umeona video yake ya juzi anasema mabango ruhusa kwenda kumpokea Rais hata kama yameandikwa matusi? na video yake akihimiza kuua vibaka
Musoma aangalie sanaSasa inabidi Jumatatu au Jumanne akajitambulishe Musoma
"Kazi iendelee......"
Yes hiyo kauli ya kuua vibaka alishawahi kuitoa Mbeya akasema kwamba baada ya kumuua alikunywa beers mbili kujipongeza, akairudia tena Mwanza na jana kasema hiyo ya wananchi ni ruhusa wabebe mabango yenye matusi wakati wa kumpokea SamiaSeriously??
Iko wapi hiyo clip?kuna clip inaonyesha akihimiza wananchi wakampokee Rais samia mwanza akawaambia ni ruhusa pia kubeba mabango hata kama yameandikwa matusi
TaRifa ni ya kweli,unataka aandike Nani mkuu?Sina uhakika nahiyo sahihi ya jaffari hanimu kamaniyakwake au tunalishana matango pori humu hazifanani chunguzeni kwanza
Tumeshaanza safari kuelekea kwenye nyumba yake kwa ajili ya ukaguziHaya sasa twende kazi,, mama hoyeee!!!🤣🤣🤣
Takukuru wanaweza wakawa wanapiga jaramba sasa hv!
Bado wako kwenye kimpumu hii ni Eralaga....Aisee kichwa kimeliwa mapema kabisaaa
Inapatikana wapi hiyo clip? Unaweza kutuwekea?yes hiyo kauli ya kuua vibaka alishawahi kuitoa mbeya akasema kwamba baada ya kumuua alikunywa beers mbili kujipongeza, akairudia tena mwanza na jana kaseam hiyo ya wananchi ni ruhusa wabebe mabango yenye matusi wakati wa kumpokea Samia
Kinachokuuma ni nini?Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.
Anateua leo, jioni anatengua.
Kesho anateua, keshokutwa anatengua!
Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??
NB: hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Kwenye Kilo ....Bado Ally Hapi
Wateule waliokuwa wanakwenda ki - bulldozer inabidi waelewe nyakati zimebadilika .
Abebe la Safari laga kama ana uwezo...Mabango
Kilichokuwasha ni nini?Kinachokuuma ni nini?