Acha kujikweza. Huna akili yoyote wewe. Unajua nn tusichokijua?Hatari sana mkuu. Ni wenye akili tu ndio tunaelewa huu mchezo.
Acha kujikweza. Huna akili yoyote wewe. Unajua nn tusichokijua?Hatari sana mkuu. Ni wenye akili tu ndio tunaelewa huu mchezo.
Bajeti kajadili na mkeo. Habari ya mjini ni kutenguliwa kwa Chalamila.mambo ya kijinga huwa yanapenda kushikilia vichwa zaidi kuliko yenye tija.
Tugusie bajeti,
mie najikita katika faini za waendesha pikipiki na bajaji, kiufupi naona hizo faini ka hazijasaidia kitu na pili waendesha bodaboda wanajua sheria za barabarani na vyombo vya moto kiujumla ila wengi wanakiuka makusudi, mfano kuambiwa wasipakize mishikaki na wao wanapakiza, yani hilo la mishkaki hata mtoto wa miaka 12 anajua kuwa haitakiwi
Pili swala la kofia ngumu, kila dereva wa pikipiki anajua kuwa inampasa yeye na abiria wake kuvaa hiyo kufia ngumu ila hawavai kwasababu mbalimbali ila zaidi ya 90% ya hizo sababu zao hazina mashiko.
Swala la usalama kwa mtu mmoja mmoja na jamii nzima halihitaji mbwembwe ama siasa flani maana yale ni maisha ya mtu, kitendo cha kushusha hizo adhabu mie sioni kama itawasaidia ila itawafanya waone adhabu hiyo ni ndogo ambako kutawafanya wawe wazembe zaidi ambako kutakuwa na madhara zaidi.
Kitendo cha dereva wa pikipiki kuona adhabu ka ni ndogo na anaimudu kunaweza fanya wale wenye uelewa mdogo kuona ka ndo muda wa kufanya vile waonavyo inafaa kwao
Wewe mwenye akili mbona hatujawahi kukusikia umesimamisha bajeti kupitishwa baada ya wewe na mkeo kuijadili chumbani kwako? Acha kujitukuza wewe.Siyo kwamba wamezipuuza ila watz wengi ni wajinga na wapumbavu!
sina mkee dadekii, labda nije jadili na mkeo geto kwanguuu ila unajua ishu ya Chalamila bana ka kajitakia mwenyewee so tumwache na akili zakeBajeti kajadili na mkeo. Habari ya mjini ni kutenguliwa kwa Chalamila.
Hata uiistuka ndiyo utafanya nn?watanzania tunakamatwaga padogo sana, kodi ya simu na nyumba, mafuta zimeongezwa tutakuja kustuka tushakuwa na nundu
Bila shaka amekusikia maana SSH anatenda kama mtandao unavyoelekeza....Bado Ally Hapi nae fukuzaaa huyo kabisa
Usioneshe umbumbumbu wako mbele ya watu namna hiiWewe mwenye akili mbona hatujawahi kuousikia umesimamisha bajeti kupitishwa baada ya wewe na mkeo kuijadili chumbani kwako? Acha kujitukuza wewe.
Mama akomaa kutupa nje ya injini vipuri vibovu. "Magu legacy in the toilet".Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Juni 2021 amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine kama ifuatavyo:-
=====
Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Mkuu wa mkoa wa Mwanza Albert Chalamila, na kumhamishia mkoa huo Mhandisi Robert Gabriel ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Mara.
Hatua hiyo imetokana na Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine.
Taarifa iliyotolewa usiku huu wa Juni 11, 2021 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu imesema katika mabadiliko hayo aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ally Salum Hapi anahamia Mkoa wa Mara.
Kwa mujibu wa Taarifa hiyo, Rais Samia amemteua Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Batilda Salha Buriani kuwa mkuu wa Mkoa wa Tabora kuchukua nafasi ya Ally Salum Hapi.
Aidha Katibu Twala Wilaya ya Simanjoro Zuwena Omari Jiri ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga kuchukua nafasi ya Batilda Salha Buriani.
Taarifa hiyo imesema tarehe ya uapisho wa viongozi wapya itatangazwa baadaye.
View attachment 1814796
Ongeza juhudi kujifunza kiswahili kizuri. ...."kwenye moja ya chuo kikuu kimoja wapo"...........Alikuwa ni Mhadhili Msaidizi kwenye moja ya chuo kikuu kimoja wapo Mkoani Iringa. Ni maarufu sana Iringa kwa uimbaji wake wa nyimbo za Kihehe. Na ni Mnyalukolo wa kutokea Wilayani Mufindi bila shaka.
Chalamila hawezi kufa njaa ana fani zaidi ya nne:
Wafitini ni wengi. Wenye haki uzongwazongwa na wasio haki.Kasema waende ofisini kwake na hayo mabango wakatoe kero zao sio waende na mabango kwa mama akija...
Sijui kwa nini kimekatwa kipande hicho tu
Yule kibaka aliyekuwa ana rap jukwaa moja na diamond?Ni swala la muda tu.
'Taarifa iliyotolewa usiku huu wa Juni 11, 2021 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu imesema katika'Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Juni 2021 amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine kama ifuatavyo:-
=====
Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Mkuu wa mkoa wa Mwanza Albert Chalamila, na kumhamishia mkoa huo Mhandisi Robert Gabriel ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Mara.
Hatua hiyo imetokana na Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mabadiliko madogo ya wakuu wa Mikoa na kuteua viongozi wengine.
Taarifa iliyotolewa usiku huu wa Juni 11, 2021 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu imesema katika mabadiliko hayo aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ally Salum Hapi anahamia Mkoa wa Mara.
Kwa mujibu wa Taarifa hiyo, Rais Samia amemteua Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Batilda Salha Buriani kuwa mkuu wa Mkoa wa Tabora kuchukua nafasi ya Ally Salum Hapi.
Aidha Katibu Twala Wilaya ya Simanjoro Zuwena Omari Jiri ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga kuchukua nafasi ya Batilda Salha Buriani.
Taarifa hiyo imesema tarehe ya uapisho wa viongozi wapya itatangazwa baadaye.
View attachment 1814796
Duh Chalamila kaliwa kichwa, pombe itanywekwa kweli? Haha
Wengine hatuna hizo fani na hatujafa njaaChalamila hawezi kufa njaa ana fani zaidi ya nne:
-Mwalimu
-Muimbaji
-Comedian
-Kada wa Chama Cha Maja....zi.