Bado wapo banah , kina doto james, biteko, bashungwa, etcLooks like a retaliatory move....
All supporters of the late Pre are down
Mkuu nazungumzia uwezo wewe unaleta nadharia zako za kijinga, nisome michango yangu humu sijawahi Fanya kazi serikalini Hadi kukutana na mabulaMabula atakua aliwahi kukuangushia kitu kizito kichwani 🤣🤣
Muda wowote baraza jipya....... stay tuned
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua @Nnauye_Nape kuwa Waziri wa Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua @HusseinBashe kuwa Waziri wa Kilimo na @AnthonyMavunde kuwa Naibu Waziri wa Kilimo
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amembadilisha @ummymwalimu kuwa Waziri wa Afya akitoka @OR_TAMISEMI
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua Mhandisi Hamad Masauni kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua Angeline Mabula kuwa Waziri wa Ardhi na @ridhiwankikwete kuwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemhamisha George Simbachawene kwenda Wizara ya Katiba na Sheria
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua Mhandisi Hamad Masauni kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
#UTEUZI Rais @SuluhuSamia amemteua Profesa Adolf Mkenda kuwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia akichukua nafasi ya Profesa Joyce Ndalichako.
Rais Samia Suluhu amemteua Prof Joyce Ndalichako kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu
#MabadilikoBarazaLaMawaziri
View attachment 2073756View attachment 2073757
Angekuwa Jiwe angetuletea mpaka yale makovidi ndani. Yule mzee kitu kinaitwa busara kwake kilishagafariki dunia tangia akiwa mtoto ila yeye akaja kufariki akiwa mzee.Samia hawezi kurudia ubabe wa Magufuli hana jeuri wala ukichaa wa level ile. CCM itaanza kupoteza viti kama enzi za JK tu.
Huko huko uliko ulipigwa kitu kizito,tupe kipimio cha uwezo ulichotumiaMkuu nazungumzia uwezo wewe unaleta nadharia zako za kijinga, nisome michango yangu humu sijawahi Fanya kazi serikalini Hadi kukutana na mabula
Aniangushie kitu kwa uwezo upo, labda kwa ujinga sio kwa weledi
,Mawazi 48Balaza kubwa mno hili ni hatari kwa tozo zetu
Nauliza,, hao mawaziri ndo sukuma gang?, Hao walioachwaIkulu
Mkuchika
Utumishi
Mhagama
Ndejembi
Tamaisemi
Bashungwa
Silinde
Festo
Makamu wa Rais
Jafo
Hamis hamis
Sera Bunge
Pindi Chana
Nderiananga
Ajira na kazi
Ndalichako
Katambi
Fedha
Mwigulu
Chande
Ulinzi
Tax
Ndani
Masauni
Sagini
Katiba
Simbachawene
Pinda
Mambo ya Nje
Mulamula
Mbaruku
Kilimo
Bashe
Mavunde
Mifugo
Mashimba
Ulega
Ardhi
Mabula
Kikwete
Maliasili
Ndumbaro
Masanja
Nishati
Makamba
Byabato
Madini
Biteko
Kiluswa
Ujenzi
Mbarawa
Atupele Mwakibete
Godtlfrey Kasekenya
Viwanda
Kijaji
Kigahe
Afya
Ummy Mwalimu
Ole Mollel
Elimu
Mkenda
Kipanga
Maendeleo ya kamii
Gwajima dorothy
Mwanaidi Hamis
Maji
Jumaa aweso
Mahundi
Utamaduni
Mchengerwa
Gekul
Habari Mawasiliano
Nape Nnauye
Kundo Mathew
MAWAZIRI WALIOCHWA
Lukuvi
Kabudi
Mkumbo
Mwambe
Muda mfupi ujao Mabadiliko ya Baraza la mawaziri yanatarajiwa kutangazwa kutoka Ikulu Jijini Dar es salaam.
======
Rais Samia amebadilisha muundo wa Wizara Tatu, Ameunganisha Wizara ya Uwekezaji iliyokuwa chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara ya Viwanda na Biashara kuwa Wizara Moja ambayo itaitwa Uwekezaji, Viwanda na Biashara.
Ameunda Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum na Wizara ya mwisho aliyoifanyia mabadiliko ni Wizara ya Afya
Uteuzi (Mawaziri Wapya):
Nape Moses Nnauye - Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Hamad Masauni - Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi
Dkt. Pindi Chana - Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
Dkt. Angelina Mabula - Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Hussein Bashe - Waziri wa Kilimo
Manaibu:
Anthony Mavunde - Kilimo
Jumanne Abdallah Sagini - Mambo ya Ndani
Dr. Lemomo Ole Kiruswa - Madini
Ridhiwani Kikwete - Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Atupele Mwakibete - Ujenzi na Uchukuzi (Upande wa Uchukuzi)
Mabadiliko ya Mawaziri:
Jenista Mhagama - Utawala Bora
Ummy Mwalimu - Afya
George Simbachawene - Katiba na Sheria
Profesa Joyce Ndalichako - Waziri wa Kazi
Innocent Lugha Bashungwa - TAMISEMI
Profesa Adolf Mkenda - Wizara ya Elimu
Dkt. Dorothy Gwajima - Wanawake, Jinsia na Makundi Maalum
Mohammed Mchengerwa - Utamaduni na Michezo
Dkt. Ashatu Kijaji - Uwekezaji
Mawaziri Walioachwa
Palamagamba Kabudi - Alikuwa Wizara ya Katiba na Sheria
William Lukuvi - Alikuwa wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi
Kitila Mkumbo - Alikuwa Wizara ya Viwanda na Biashara
Geoffrey Mwambe - Alikuwa Wizara ya Uwekezaji
=====
Kwa Ufupi;
Ikulu
Mkuchika
Utumishi
Mhagama
Ndejembi
Tamaisemi
Bashungwa
Silinde
Festo
Makamu wa Rais
Jafo
Hamis Hamis
Sera Bunge
Pindi Chana
Nderiananga
Ajira na kazi
Ndalichako
Katambi
Fedha
Mwigulu
Chande
Ulinzi
Tax
Ndani
Masauni
Sagini
Katiba
Simbachawene
Pinda
Mambo ya Nje
Mulamula
Mbaruku
Kilimo
Bashe
Mavunde
Mifugo
Mashimba
Ulega
Ardhi
Mabula
Kikwete
Maliasili
Ndumbaro
Masanja
Nishati
Makamba
Byabato
Madini
Biteko
Kiluswa
Ujenzi
Mbarawa
Atupele Mwakibete
Godtlfrey Kasekenya
Viwanda
Kijaji
Kigahe
Afya
Ummy Mwalimu
Ole Mollel
Elimu
Mkenda
Kipanga
Maendeleo ya kamii
Gwajima dorothy
Mwanaidi Hamis
Maji
Jumaa aweso
Mahundi
Utamaduni
Mchengerwa
Gekul
Habari Mawasiliano
Nape Nnauye
Kundo Mathew
Lukuvi, Kabudi, Meambe, Kitila MkumboNani amepigwa chini!!??
Mkuchika yupi huyo?Lukuvi, Kabudi, Mkuchika
Mwandiko wako unafanana na yule bwana aliyeachia ngazi juziLAZIMA SASA RAIS SSH AUNDE KIKOSI KAZI CHA KUFATILIA UTENDAJI KAZI WA MAWAZIRI NA MAKATIBU WAKUU NADHANI INAWEZA KUSAIDIA SANA UWAJIBIKAJI WAO SIYO WANAKUWA WANAGOMBANIA MICHONGO YA PESA TU !!!!!!!!!!!
Mawaziri ni wasaidizi wake hawezi kuwa na wasaidizi ambao ni wapinzani wake si wakajiandae vzr wakutane 2025 shida Iko wap jmnKwa baraza hili nmeamini hangaya anapresha ya 2025, kateua watu wa kumpigia debe
Lukuvi haikuwa busara kumuacha.
Hana lolote ndio wafu walewale ni kwasababu wewe Hukumjua huyo Lukuvi wako, sasa wewe mbona Naibu Waziri unamtukana sababu ya baba yake?Achana na mambo ya mtu anakotoka nazungumzia utendaji wa Lukuvi kwenye ardhi. Unamtoaje mtendaji aliyejitahidi kuondoa uozo kwenye ardhi
Body language inaonyesha lukuvi alitaka kuwa TopLukuvi anaenda kuwa Spika
Mtamfanya nini wakati hii nchi ni mali yake.Kuna Mtu anajiona anaweza kufanya chochote anachotaka katika nchi hii wakati hata akifa Leo hakutafanyika teuzi kuziba nafasi Wala uchaguzi. Ila huu Ni mwaka wake wa mwisho kuharibu hii nchi.
Sorry kumbe yupo Utumishi Mzee wetu MkuchikaMkuchika yupi huyo?