Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,899
- 33,464
Kwa hiyo wewe timu samia umeula? Umeteuliwa leo na ukoo wako hamtakuwa masikini tena?Najua timu jiwe wazee wankusifu na kuabudu inawauma sana, tulitoka mavumbuni tutarudi mavumbini, muhimu kuishia kwa maslahi ya umma wa Watanzania, sio kikundi Cha watu flani. Leo uyu kesho Yule, Amina.