kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,648
- 3,003
Jiulize hao wanaolipa 25% hadi 35% inakuwaje.!!Asante mama
Jiulize hao wanaolipa 25% hadi 35% inakuwaje.!!Asante mama
1% ya mishahara yote kwa mwezi unajua ni kiasi gani?Sasa hapo ni amepunguza nini? Au ametangaza na ongezeko la mishahara.
Hiyo ni value retention fee, eti deni linakua kwa asilimia 6 kila mwezi sijui ni kila mwaka, yaani kadri unavyolilipa na lenyewe ndio linaendelea kukua, halipungui, maisha yote, mi sijawahi kulipa na sitalipa kabisa kwa mtindo huoNimemsikia akisema anaondoa asilimia 6 ya bodi ya mikopo Leo,sema ndo sijamuelewa anamaanisha nini😲🧐
Hayo makato ya 15% ndo nuksi kwa fresh employee,waajiri wapya hiyo 15% inaumiza sanaAmeondoa retention fee ya 6% ya mkopo ila makato yamebaki palepale 15%
Sisi tunataka bodi ya mkopo isikate 15% ya Magufuli wafanye 9% ndo tutaelewana
Kama ndo hivo afadhari babekiRetention fee ndio imetolewa ambayo ilikuwa inaongezeka kwa asilimia 6 kila mwaka
Ile 6% effect zake ni kubwa kulko hata hiyo 15%Hayo makato ya 15% ndo nuksi kwa fresh employee,waajiri wapya hiyo 15% inaumiza sana
Ili mje kufidia kwa kukamua wafanya biashara, si ndio?
Hii hapaa bado sijaelewa unaposema kodi ni 8% je ni kwa watumishi wotee? Inamaana unachukua 8%*basic salary = PAYE
Kwa hiyo ile asilimia 15 bado iko palepale na vp kuhusu wale ambao wanakatwa baada ya hiyo retention fee kuwa calculated...mwongozo wako chief tafadhali.
Kama huna jibu kwa swali husika ni bora ungepita kimyakima mzeebaba....we kwani ulitakaje??Sasa kijana wewe ulitakaje yaani..!!
Ndo maajabu eti kuishangilia punguzo la asilimia moja,hiki Ni kituko au hawa wafanyakazi hawajielewi huwezi kuishangilia upuuzi ,amepunguza asilimia moja katka asilimia miamojaSasa hapo ni amepunguza nini? Au ametangaza na ongezeko la mishahara.
Kundi kubwa la wafanyakazi hawajielewi,unaakili timamu huwezi kuishangilia punguzo la asilimia mojaHapa ndio nyumbu zinakamatwaga. Mtu anapunguza kodi kwa kima cha chini tuu. Yaani mshahara wa kati ya 161,000 hadi 360,000 ndio umepunguza 1%. Hiyo mingine vipi? Alikuja meko na haya haya eti kapunguza kutoka 12% hadi, 9% watu wakashangilia kabisa. Wakati daraja moja tuu ndio anapunguza mengine anapandisha kufidia.
Kwenye 8% ukipunguza 1% huoni afazali hapo.. Au wazani hio asilimia 1 imepunguzwa kwenye asilimia 100Sasa hapo ni amepunguza nini? Au ametangaza na ongezeko la mishahara.
Toka asilimia 8 ....someni vizur jamanNdo maajabu eti kuishangilia punguzo la asilimia moja,hiki Ni kituko au hawa wafanyakazi hawajielewi huwezi kuishangilia upuuzi ,amepunguza asilimia moja katka asilimia miamoja
Hebu piga hesabu ya hili ONGEZEKO. 500,000 x 1/100= 5,000. Hesabu rahisi ni kuwa kwa anayepokea 500,000/- atapata nyongeza ya elfu 5!Asante mama
Wewe ndio kilaza kweli. Kwenye kodi unafikiri hesabu inapigwa hivyo? Kasome schedule za Income Tax Act ndio uje uongee hapa.Hebu piga hesabu ya hili ONGEZEKO. 500,000 x 1/100= 5,000. Hesabu rahisi ni kuwa kwa anayepokea 500,000/- atapata nyongeza ya elfu 5!
Vv
Tango pori jamani!!!Hebu piga hesabu ya hili ONGEZEKO. 500,000 x 1/100= 5,000. Hesabu rahisi ni kuwa kwa anayepokea 500,000/- atapata nyongeza ya elfu 5!
Vv