Wale waliokuwa wanamuona Hayati Magufuli ni dikteta naomba tutafutane miaka miwili ijayo.
Magufuli alijiamini sana hakuwa muoga sana. Ila sasa Mama atakuwa hatari zaidi kwasababu ya hofu za namna alivyopata cheo na pili kimaumbile.
Leo gazeti limeshafungiwa na yale magazeti makali Mwanahalisi na Tanzania Daima hayajafunguliwa mpaka leo. Mbowe yuko ndani badala ya Uamsho
Mkutano wa pili wa Magufuli na Waandishi wa Habari aliwaambia" Watch it your not free to that extent" nasubiri mkutano wa pili wa mama na Waandishi tuone atawaambia maneno yale ya mkutano wa kwanza?
Vyama havifanyi mikutano siasa imehamia kanisani Ufufuo na Uzima nako wanataka kumdhibiti.
Unadhibiti vyama, magazeti, makanisa, misikiti n.k je watu watapumulia wapi?
Magufuli alijiamini sana hakuwa muoga sana. Ila sasa Mama atakuwa hatari zaidi kwasababu ya hofu za namna alivyopata cheo na pili kimaumbile.
Leo gazeti limeshafungiwa na yale magazeti makali Mwanahalisi na Tanzania Daima hayajafunguliwa mpaka leo. Mbowe yuko ndani badala ya Uamsho
Mkutano wa pili wa Magufuli na Waandishi wa Habari aliwaambia" Watch it your not free to that extent" nasubiri mkutano wa pili wa mama na Waandishi tuone atawaambia maneno yale ya mkutano wa kwanza?
Vyama havifanyi mikutano siasa imehamia kanisani Ufufuo na Uzima nako wanataka kumdhibiti.
Unadhibiti vyama, magazeti, makanisa, misikiti n.k je watu watapumulia wapi?