Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,248
- 7,881
Hii ni taarifa mbaya kwa "Haters" wa Rais Samia Nyani Ngabu, Nyankurungu2020, Mzee Mwanakijiji, Etwege, Idugunde, Suzy Elias, Beatrice Kamugisha
Influence is hard to measure, and what we look for is people whose ideas, whose example, whose talent, whose discoveries transform the world we live in. Influence is less about the hard power of force than the soft power of ideas and example.Time ni jarida tu kama mengine, halina issue. Alafu sababu eti ni raisi mwanamke.
Unabishana na Mimi au na Gazeti la Times?Influencing what? Who? How?....siku mtaacha huu ujinga wa vitu vidogo vidogo yawezekana mkaelewa mahitaji ya wananchi kuwa sio huo ujinga uliouweka hapo
Sisubirii kuambiwa nifanye kazi....naifanya tena zaidi yako.Unabishana na Mimi au na Gazeti la Times?
Wewe mzembe hufanyi kazi, unategemea hisani ya shemeji yako aluyemuoa dada yako lazima uone maisha magumu mtaani. Kafanye kazi acha umama Kaka pembe
Inapendeza sana,ukipewa ushindi wa mezani.Inapendeza...ndio Rais wa Africa kwa sasa, wanawake wote na Africa yote inajivunia Rais pekee mwanamama
Huna lolote, unaishi maisha duni sana hiyo inatokana na comments zako. Mtu maskini utamuona tu full kulalamikaSisubirii kuambiwa nifanye kazi....naifanya tena zaidi yako.
Sifugwi naishi na watu na wanaishi vema kabisa.
Usidhani wote ni makapuku kama wewe keyboard warrior come on.
Angekuwa makengeza Mbowe ndio kawekwa ungekuwa hapa unakenua mijino ya Chuga mpaka aibu.Mmeanza tena yale yale ya Jiwe na Forbes.
Alafu huu ujinga alituanzishia magu bogaz yule imekua ndio tabia ya wengi, miaka ya nyuma huu ujinga haukuwepoInfluencing what? Who? How?....siku mtaacha huu ujinga wa vitu vidogo vidogo yawezekana mkaelewa mahitaji ya wananchi kuwa sio huo ujinga uliouweka hapo