beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Samia Suluhu Hassan amesema bado Askari wanalalamikiwa kwa masuala kadhaa ikiwemo kushikilia Leseni za Madereva kwa muda mrefu au kuwalazimisha kulipa faini papo hapo ilihali Sheria inampa muda Dereva wa kuilipa.
Amesema, "Kingine ni kuna ukamataji mwingi wa Vyombo. Ukipita Vituo vya Polisi utakuta Pikipiki nyingi zimepangwa, na nyingine hazionekani kama zimekamatwa jana na leo"
Ameongeza, "Makosa yasikilizwe, kesi imalizike ahukumiwe kosa. Vyombo vinabaki muda mrefu unahisi vimetelekezwa. Iangaliwe kwa undani kero hizi zinasababishwa na nini"
Amesema, "Kingine ni kuna ukamataji mwingi wa Vyombo. Ukipita Vituo vya Polisi utakuta Pikipiki nyingi zimepangwa, na nyingine hazionekani kama zimekamatwa jana na leo"
Ameongeza, "Makosa yasikilizwe, kesi imalizike ahukumiwe kosa. Vyombo vinabaki muda mrefu unahisi vimetelekezwa. Iangaliwe kwa undani kero hizi zinasababishwa na nini"