Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,078
- 12,756
Wakati yakifanyika hayo yeye alikuwa mpishi wa hotelini ama MAKAMU WA RAIS?!!!!Reli ya SGR sio uanzilishi wake,kwenye mwaka wake mmoja hajajenga barabara mpya hata 10km!!!
Madege aliyopokea yalilipiwa na hayati,miundo mbinu pekee aliyofanya ni kujiandaa kugombea 2025 na kumfukuza spika kama kibaka wa manyanya!!