Rais Samia Suluhu ashangaza wengi kasi ya Ukuaji Uchumi Tanzania

Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania,​

According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Tanzania Tanzania Gross Domestic Product GDP limekua kwa kasi ya ajabu na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 takribani miezi tisa sasa,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi nzima kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi wa asilimia 5.2 wakati huu huu ambapo majirani zetu wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi wao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi mathalani Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia -2.1 robo ya pili ya mwaka 2021 wakati Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021 uliofikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee wakati katika kipindi kama hicho mwaka 2021 Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,

View attachment 2069362
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Mtaipenda TU
 
Nahisi uchumi ni swala la muda na mipangilio ya muda mrefu,tusipende sifa kumpa mtu mmoja ila lawama tunawapa waliotangulia. Namaanisha ukuaji huu wa uchumi huenda umechagizwa toka enzi ya Mkapa ila manufaa yake tunayaona sasa hivyo yapaswa tuwape sifa wote waliowahi kuitawala Tanzania.
Muandishi umeongea royal tour imesaidia kukuza utalii,royal tour hata haijafika bado inapewa sifa ya kufanikiwa au lile tangazo ndio teyari limevutia watalii? Hebu tuwe was taarab kidogo,maneno kama haya ndio yanafanya wakosoaje watuone hatuna maana kabisa watanzania wote
 
Nahisi uchumi ni swala la muda na mipangilio ya muda mrefu,tusipende sifa kumpa mtu mmoja ila lawama tunawapa waliotangulia. Namaanisha ukuaji huu wa uchumi huenda umechagizwa toka enzi ya Mkapa ila manufaa yake tunayaona sasa hivyo yapaswa tuwape sifa wote waliowahi kuitawala Tanzania.
Muandishi umeongea royal tour imesaidia kukuza utalii,royal tour hata haijafika bado inapewa sifa ya kufanikiwa au lile tangazo ndio teyari limevutia watalii? Hebu tuwe was taarab kidogo,maneno kama haya ndio yanafanya wakosoaje watuone hatuna maana kabisa watanzania wote
Ulikuwa wapi kumueleza hili Mwendazake aliyeanzisha mashambulizi kwa watangulizi wake?
 
Kwa sasa ndio inaelekea kaburini kabisa! Watu wanateseka na njaa mitaani nyie mkikaa kwenye vyumba vyenye ac na kupewa posho mnahisi maisha ni mazuri kwa wote. Ipo siku kitatokea kitu cha kustaajabisha sana.

Mtaani vitu bei juu pesa haipatikani
Hizo ni ndoto kama ndoto zingine,Samia sio kiazi kama wale 👇

Screenshot_20220124-003139.png


Screenshot_20220124-003034.png


Screenshot_20220122-163321.png


Screenshot_20220121-205647.png


Screenshot_20220121-205613.png


Screenshot_20220121-193328.png


Screenshot_20220120-202640.png


Screenshot_20220120-202429.png


Screenshot_20220120-202147.png


Screenshot_20220120-081951.png
 

Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania,​

According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Tanzania Tanzania Gross Domestic Product GDP limekua kwa kasi ya ajabu na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 takribani miezi tisa sasa,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi nzima kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi wa asilimia 5.2 wakati huu huu ambapo majirani zetu wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi wao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi mathalani Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia -2.1 robo ya pili ya mwaka 2021 wakati Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021 uliofikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee wakati katika kipindi kama hicho mwaka 2021 Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,

View attachment 2069362
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Pato la Taifa linasaidia nini huku nchi ikiwa imezama kwenye hyperinflation.We want more food on the table sio economic jargons,we are fed up with that.
 
Hebu tuachen, mnapenda sana kuzipika hizi data. Kipindi cha mwenda zake piah mlisema uchumi umekuwa. Hakukuwa hata na siku moja mlisema uchumi umeshuka na hata walipojaribu wachumi kusema uchumi unashuka mliwazingua. TUMEWACHOKA UMBWAA
 
Makofi tafadhali hichi ni kikao cha dharura, iyenaiyena iendelee ccm ni nambari wani, kidumu chama cha mapinduziiiiii. Tutakukumbuka daima Magu, Mshumaa uliozima ghafla na kutuacha tena ktk kiza totoro.
 
Makofi tafadhali hichi ni kikao cha dharura, iyenaiyena iendelee ccm ni nambari wani, kidumu chama cha mapinduziiiiii. Tutakukumbuka daima Magu, Mshumaa uliozima ghafla na kutuacha tena ktk kiza totoro.
😀😀😀😀
 
GDP haikupi picha halisi ya uchumi wa nchi kwasababu sehemu kubwa ya uchumi huo unamilikiwa na mataifa ya nje, ambao kwa kiasi kikubwa mapato yao yanarudishwa kwenye nchi hizo husika.

Hao NBS watoe figure za GNP (Gross National Product) Hii ndio inakupa picha halisi kwamba tumepiga hatua au ndio yale yale ya kuwaachia wageni kufaidi keki ya Taifa.
 
Hebu tuachen, mnapenda sana kuzipika hizi data. Kipindi cha mwenda zake piah mlisema uchumi umekuwa. Hakukuwa hata na siku moja mlisema uchumi umeshuka na hata walipojaribu wachumi kusema uchumi unashuka mliwazingua. TUMEWACHOKA UMBWAA
😆😆 Wivu huu sasa kama sio nongwa,wapike data Ili wavumbue nini?

Zama za Giza zimepita.Hebu angalia performance ya sekta ya Utalii yangu awamu ya 6 imeingia yaani ni ♨️♨️.

Au na hizi zimepikwa? 👇

Screenshot_20220125-125415.png


Screenshot_20220125-125333.png


Screenshot_20220125-125256.png


Screenshot_20220124-003139.png


Screenshot_20220121-205647.png


Screenshot_20220107-064427.png


Screenshot_20220124-143506.png


Screenshot_20220124-143437.png


Screenshot_20220124-143609.png


Screenshot_20220124-194552.png


Screenshot_20220125-214046.png


Screenshot_20220126-105020.png
 

Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania,​

According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Tanzania Tanzania Gross Domestic Product GDP limekua kwa kasi ya ajabu na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 takribani miezi tisa sasa,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi nzima kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi wa asilimia 5.2 wakati huu huu ambapo majirani zetu wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi wao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi mathalani Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia -2.1 robo ya pili ya mwaka 2021 wakati Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021 uliofikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee wakati katika kipindi kama hicho mwaka 2021 Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,

View attachment 2069362
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Someni hii kwa makini,
 

Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania,​

According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Tanzania Tanzania Gross Domestic Product GDP limekua kwa kasi ya ajabu na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 takribani miezi tisa sasa,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi nzima kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi wa asilimia 5.2 wakati huu huu ambapo majirani zetu wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi wao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi mathalani Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia -2.1 robo ya pili ya mwaka 2021 wakati Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021 uliofikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee wakati katika kipindi kama hicho mwaka 2021 Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,

View attachment 2069362
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Tufanyeni kazi kwa bidii, Uchumi unakua vizuri sanaw
 
Nahisi uchumi ni swala la muda na mipangilio ya muda mrefu,tusipende sifa kumpa mtu mmoja ila lawama tunawapa waliotangulia. Namaanisha ukuaji huu wa uchumi huenda umechagizwa toka enzi ya Mkapa ila manufaa yake tunayaona sasa hivyo yapaswa tuwape sifa wote waliowahi kuitawala Tanzania.
Muandishi umeongea royal tour imesaidia kukuza utalii,royal tour hata haijafika bado inapewa sifa ya kufanikiwa au lile tangazo ndio teyari limevutia watalii? Hebu tuwe was taarab kidogo,maneno kama haya ndio yanafanya wakosoaje watuone hatuna maana kabisa watanzania wote
Wacha asifiwe kama anafanya vizuri,
 
😆😆 Wivu huu sasa kama sio nongwa,wapike data Ili wavumbue nini?

Zama za Giza zimepita.Hebu angalia performance ya sekta ya Utalii yangu awamu ya 6 imeingia yaani ni ♨️♨️.

Au na hizi zimepikwa? 👇

View attachment 2096154

View attachment 2096155

View attachment 2096156

View attachment 2096157

View attachment 2096158

View attachment 2096159

View attachment 2096160

View attachment 2096161

View attachment 2096162

View attachment 2096163

View attachment 2096164

View attachment 2096165
Hebu pitieni hii wakuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom