Rais Samia Suluhu ashangaza wengi kasi ya Ukuaji Uchumi Tanzania

===
According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Tanzania Tanzania Gross Domestic Product GDP limekua kwa kasi ya ajabu na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 takribani miezi tisa sasa,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi nzima kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi wa asilimia 5.2 wakati huu huu ambapo majirani zetu wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi wao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi mathalani Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia -2.1 robo ya pili ya mwaka 2021 wakati Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021 uliofikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee wakati katika kipindi kama hicho mwaka 2021 Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,


VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Kaziiendelee
 
===
According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Tanzania Tanzania Gross Domestic Product GDP limekua kwa kasi ya ajabu na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 takribani miezi tisa sasa,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi nzima kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi wa asilimia 5.2 wakati huu huu ambapo majirani zetu wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi wao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi mathalani Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia -2.1 robo ya pili ya mwaka 2021 wakati Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021 uliofikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee wakati katika kipindi kama hicho mwaka 2021 Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,


VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Ngoja waje watunza legacy!!
 
Tanzania post 5.2 percent economic growth in Quarter 3


Dar es Salaam.

===
The latest economic growth report by the National Bureau of Statistics (NBS) for the third quarter of 2021 (July and September) shows Tanzania’s Gross Domestic Product (GDP) rebounded to 5.2 percent from 4.4 percent recorded in the second quarter.

According to the figures, Q3 GDP increased to Sh32 trillion in 2021 from Sh30.3 trillion in 2020.

Some of the key factors that buoyed the national economy as highlighted in the report include tourism which saw an increase of tourists visiting the country in Quarter 3 to 243,565 compared to 72,147 tourists in the corresponding period in 2020, construction has contributed about 18.1 percent of the growth followed by agriculture which stood at 15.1 percent .

Other East African countries also registered positive GDP results following a contraction in Quarter 2. Rwanda has recorded growth of about 10.1 percent from negative growth of 3.6 percent, whereas Kenya recorded growth of 9.9 percent from negative growth of 2.1 in quarter two of 2021.

Tanzania is projected to maintain positive growth in Q4 stemming from the continued economic recovery efforts in different sectors.


Souce : The Citizen
Watunza legacy wanakuja!!
 
===
According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Tanzania Tanzania Gross Domestic Product GDP limekua kwa kasi ya ajabu na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 takribani miezi tisa sasa,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi nzima kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi wa asilimia 5.2 wakati huu huu ambapo majirani zetu wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi wao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi mathalani Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia -2.1 robo ya pili ya mwaka 2021 wakati Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021 uliofikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee wakati katika kipindi kama hicho mwaka 2021 Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,


VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Asante sana kwa kutujuza,wananchi,sisi tuko pamoja,na Rais wetu,Mungu ampe afya na umri mrefu,azidi kutuletea maendeleo
 
>>>>Pia Soma hapa B]

Asante sana,maendeleo tunayaona,wananchi tunafurahi,ukitujulisha.
 
===
According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Tanzania Tanzania Gross Domestic Product GDP limekua kwa kasi ya ajabu na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 takribani miezi tisa sasa,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi nzima kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi wa asilimia 5.2 wakati huu huu ambapo majirani zetu wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi wao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi mathalani Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia -2.1 robo ya pili ya mwaka 2021 wakati Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021 uliofikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee wakati katika kipindi kama hicho mwaka 2021 Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,


VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Kwa chuki watu wanaweza mchukia Samia ila kwa Takwimu za Uchumi kwa miezi aliyokaa madarakani hakuna Rais aliwahi fikia .

Hongera Samia.Huo ukuaji umepelekea tuwe na mauzo makubwa na kuzishinda Nchi zote za Afrika Mashariki.

Screenshot_20220110-162605.png


Screenshot_20220110-080936.png


Screenshot_20220108-223349.png


Screenshot_20220107-173944.png


Screenshot_20220107-064718.png


Screenshot_20220107-064427.png


Screenshot_20220105-210157.png


Screenshot_20220102-155425.png


Screenshot_20220102-155444.png


Screenshot_20220102-155026.png


Screenshot_20220108-201919.png
 
Mtoa hoja ningependa nikualike uje huku Lingusenguse,halafu uniambie hizi number zako za ukuaji wa uchumi zinawiana vipi na hali halisi on the ground,pls karibu huku
Kuna nini huko Lingusenguse? Najua ni Mkoa wa Ruvuma ila usijari Samia kaongeza bajeti ya Tarura mara mbili ko mtafikiwa na barabara .
 
ID gani mjomba? Fanya kazi acha maneno maneno
Ukifanyakazi,maendeleo utayaona.Mungu ampe umri mrefu,Rais wetu,awe mzima wa afya,wananchi tuna unafuu mkubwa wa maisha,matunda ya kila aina yapo sokoni,kuanzia maembe,mananasi,ndizi mbivu,matunda ya damu,maparachichi,mapapai nk,ukichukuwa kwa jumla,ukiuza rejareja,faida nzuri unapata.Kuna mboga mboga za majani,vitunguu,viazi,karoti,pilipili,hoho,bamia,nyanya,njegere,nk zote biashara,faida tunapata wananchi.Samaki wa kumwaga,ukichukuwa baharini,ukileta nchi kavu,faida za kumwaga.
 
Hii ina-translate vipi na wakulima wa Korosho kule kukosa masoko, mbolea kupanda, mfumuko wa Bei na mgao wa umeme wa kila kona huku gharama za kuunganishwa kurudishwa....

Bila kusahau kutumia muda kwa malumbano na kutupiana vijimaneno wakati mambo hayaendi....
Mfumuko wa bei uko kwenye target za Serikali so hakuna shida,afu usikariri sio kila mfumuko wa bei ni hasara bali nibfaida Sana .

Sababu za mbolea kupanda zinajulokana,korosho ina soko tofauti na Mwaka Jana,hakuna Mgao wa umeme.

Acha wivu Na chuki kijana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom