benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,032
Katika kuadhimisha miaka 59 ya Muungano wa Tanzania Bara tarehe 26 Aprili, 2023 Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Mamlaka aliyopewa chini ya Ibara 45(1)(d) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa msamaha kwa wafungwa 376.
Kati ya wafungwa hao 376 watanufaika na Msamaha huo ambapo 6 wataachiliwa huru tarehe 26/04/2023 na 370 watabaki gerezani kumalizia sehemu ya kifungo kilichobaki baada ya kupewa Msamaha huu.
Kati ya wafungwa hao 376 watanufaika na Msamaha huo ambapo 6 wataachiliwa huru tarehe 26/04/2023 na 370 watabaki gerezani kumalizia sehemu ya kifungo kilichobaki baada ya kupewa Msamaha huu.